Nadhani alitaka kusema hostel walizopangiwa wanafunzi wanakaa ground flow na floor ya kwanza, kuanzia ya pili na kuendelea hazina watu waliopangiwa...
Nadhani itakuwa wamefanya hivyo kwa kuwa vyumba ni vingi kuliko wanafunzi, au mwaka wa pili na wa tatu bado hawajaripoti, wakija watakaa sehemu hz.