Hili limewahi kukutokea?

Hili limewahi kukutokea?

Wakuu Hili limekaaje??

Unakuta mtu..... mdada ukishaolewa ndo anatokea jamaa anakupenda

Kuliko mume wako!!!!!

Ama

Mkaka ukishaoa ndo anatokea mdada anakupenda kuliko mke wako???

Hii kitaalam imekaaje??????
Huyo mdada au mkaka mnakuwa mmefahamiana kabla au baada ya ndoa?

Na kama ni kabla alikuwa anakuchukuliaje? Na kama ni baada nini kimemvutia?

Nb: kuna watu ni wavurugaji wa mahusiano ya watu. Ni agents wa sheta. Ukishaingia king, anakuacha kama hakujui!
 
255757077938_status_124e3beea01c4384b87853ebdbf1a20b.jpg
Amina.
 
Hii kitaalam imekaaje?
Hii kitaalamu tunaiita Mbuzi kala Mbuzi na hao wakipendana mapenzi yao yananoga balaa anakula vitamu kuliko anavyokula kwa mkewe au kwa mumewe maana anapokea penzihuru bila ya usumbufu wa mawazo ya hapa na pale
 
Wakuu Hili limekaaje??

Unakuta mtu mdada ukishaolewa ndo anatokea jamaa anakupenda

Kuliko mume wako!

Ama

Mkaka ukishaoa ndo anatokea mdada anakupenda kuliko mke wako?

Hii kitaalam imekaaje?
Shetani hafuati mahali ambapo haoni baraka,sasa ameona ndoa anataka kuvuruga, sasa wewe single akufatie nn
 
Fakyuol(*** you all)

Na moderators were there watching it!


Mpaka mtu aandike matusi kwenye comments ndio mumpige barn !




Hamkeni Sasa !
 
Shetani hafuati mahali ambapo haoni baraka,sasa ameona ndoa anataka kuvuruga, sasa wewe single akufatie nn
Walio Single hawafuatwi na Shetani? Ila waliooa na kuolewa ndio wanafuatwa na Shetani? Hii ni Iman au mzigo?
 
Back
Top Bottom