Liverpool_Jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,220
- 1,411
- Thread starter
- #201
Wanawake wa sasa WANAUMIZA HASAAA...Kwa sababu watu hawapendi kuusikia ukweli! Na mimi napenda kusema ukweli ila sipendi kumuumiza mtu!
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Wanawake wa sasa WANAUMIZA HASAAA...Kwa sababu watu hawapendi kuusikia ukweli! Na mimi napenda kusema ukweli ila sipendi kumuumiza mtu!
.........??????Hivi kwanini watu wakiongeaga ukweli huwa wanaomba msamaha? Kwanini ujisikie vibaya kwa kusema ukweli?
dah hawa viumbe basi linapokuja suala la mali kumbe ni hatari sana hawa...Wapo ma Baharia walioa na wakawa na watoto ila WALIACHWA EMPTY..
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
wake wenyewe ndo nyie?Ngoja nizeeke tuOa wewe Mengi ndo bilionea na alioa wee na tuhela twako twa kununulia vibambala na nyanya chungu vinakutia wazimu.
Find a woman and get married.
wake wenyewe ndo nyie?Ngoja nizeeke tu
Ngoja niende ulaya kutafuta.
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Vya kugoogle changanya na zako.We umeoa?
..........
""PPD is a significant cause of disability in the United States. It can lower a person's quality of life and may also affect the lives of their family, friends, and co-workers. PPD can manifest in aggression and violence toward others. As a result, people with PPD may find themselves socially isolated and depressed."""
.….....…...
Mbona sina hata moja?
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Vya kugoogle changanya na zako.
View attachment 1428543View attachment 1428544View attachment 1428545
Unforgetable
Nitoke wapi nije wapi madamBadili dini tuoane bro.
Sent From Galaxy S9
Reading threatening meanings into benign eventsFirst year huwa mnasumbua Sanaa.. Hamna utofauti na form one au form 5.
Ngoja chuo kifunguliwe mpungue humu.
Mrudishie lecturer notes zake.
Umekula mchana?Reading threatening meanings into benign events
Sifa moja ya mtu mwenye mental disorder ni denial. Yani hata umuambie una tatizo yeye atakuambia niko sawa.
Pia wana defence mechanism, na denial is the first in the list. Na umemanifest bila wasiwasi.
Umesema hauna PPD, nimekuletea evidence unasema eti ni za first year which is bluffing. Hata kama zingekuwa ni za chekechea hazifanyi ww uliye na miaka 30 usifit, umefit kikamilifu kabisa.
Kwa hiyo mkuu take actions. Remember the first step towards healing is acceptance.
I always AGREE to DISAGREE...Reading threatening meanings into benign events
Sifa moja ya mtu mwenye mental disorder ni denial. Yani hata umuambie una tatizo yeye atakuambia niko sawa.
Pia wana defence mechanism, na denial is the first in the list. Na umemanifest bila wasiwasi.
Umesema hauna PPD, nimekuletea evidence unasema eti ni za first year which is bluffing. Hata kama zingekuwa ni za chekechea hazifanyi ww uliye na miaka 30 usifit, umefit kikamilifu kabisa.
Kwa hiyo mkuu take actions. Remember the first step towards healing is acceptance.
fanya kitu moyo unapenda huwez jua! maana sidhan kma wote ulimwengun tutaoa au kuolew..Tokea Form 6 nimekua nikiwaza kujiajiri tuu, ila vile maisha ya kiyatima na kimaskini yamenichelewesha kidogo.
Ila nashukuru Mungu Nina miaka 30 na mambo yanaenda (I have started Small..!!).
Nilikuaga mwajiriwa wa private nikaenda serikalini, nikasoma na sasa ni Free soul..!!.
SHIDA IKO HIVI...
Tokea mwaka 2018 nyumbani (walezi) wamekua wakiniuliza ""UTAOA LINI?"" sijawahi kutoa jibu kwasababu ""HATA HUYO WA KUOA SINA..!!""
Nilikuaga na mmoja akazingua na kuniita "KAFIR"" sababu ya ukristo wangu japo nilimsaidia sanaa yule fala mpaka akawa na maisha poa.
ALINIFANYA NIPOTEZE HAMU YOTEE NA LADHA YA KOA au KUISHI NA MWANAMKE PAMOJA TENA.
Tokea jambo litokee ni miaka 5 ila SIJAWAHI TENA KUWAZA.
Kuwaambia nyumbani kuwa SINA MPANGO wa kuoa naogopa maana walezi wangu kila Siku wanaongelea ""Marehemu wazazi wangu wanahitaji kuoana wajukuu wakiwa hukohuko peponi..!!""
Halafu huwa nawaheshimu sanaa walezi wangu, maana bila wao NISINGEKUA HAPA KABISAA.
Naogopa kuwavunja moyo na ukicheki ni wazee (60's).
Na sababu hasa ya KUDELETE KUOA ni..
1. Nimeamua kujiajiri kwa kuinvest.
Sasa najiuliza, Unajihangaisha mwenyewe na kupata mali kiasi, halafu unaoa.
Huyo mke baada ya miaka kadhaa anakwambia tuachane..
YAANI MALI NILIZOTAFUTA MWENYEWE KWA MIAKA ZAIDI YA 5 LEO NIGAWANE NA MTU KISA NI MKE WANGU?
•Juhudi zangu zote ziishe kirahisi hivi, KISA NDOA?
2. Wanaonizunguka asilimia kubwaa wanalia na MATESO YA NDOA ZAO.
Hawa walezi wangu sometimes ni wasuluhishi na huwa wananishirikisha nitoa mawazo yangu.
•SASA WANATAKA NA MIMI YANIKUTE AU..??
3. Nimezoea maisha ya ubachelor na free soul.
Tokea nitoke home kwenda kusoma Diploma mpaka sasa Nina Masters of Science in ..... maisha yangu ni kutembea na kuzurula tu mikoani.
Sasa nioe halafu vile nianze kuomba ruhusa kwa mke wakati mi nishazoea nikiwa bored huwa naenda stendi kukata tiketi halafu ndukii...
Sijawahi KUAGA zaidi ya KUTOA TAARIFA kwa watu wa karibu sana ila SIO KUOMBA RUHUSA.
•Sasa nikishaoa si ndio vile unaanza kuomba ruhusa, kunegotiate na mambo kama hayo na Huyo mke!
4. Kama yule dada nilimkuta na stress za un-employment, nikajihangaisha mpaka akapata maisha.
Ila malipo yalikua ni kuitwa KAFIR kisa UKRISTO WANGU na mema yoteee yalisahaulika.
•Sasa Huyo ajae nae si mwanamke kama yule tu?
Najua...
KUOA NI MUHIMU, FAMILIA NI LAZIMA ila MOYO UMEGOMA KABISAAA.
Nakumbuka mwaka 2018 nilijiwekea malengo "Nikifika 2020 lazima niwe na MCHUMBA au NDOA.
Ila hata DALILI SINA..!!
Sometimes kuna kitu ndani kinaniambiaga ""Ole wako ujaribu, You will doomed""
USHAURI TAFADHALI?
Hebu MLIOA naombeni USHAURI na TECHNICS mlizotumia kuondoa hii COMPLEXITY FEAR ya haya maisha..!!!
KUOA NATAMANI ila ""....…..hiii bagosha (in JPM voice)""
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
We sometimes bored and need a compan
We sometimes fill empty sets in our heart.
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!