Zitaponza vipi? Kwani tbc ni kitu gani?Sifa zitawaponza
Sawa shabikiZitaponza vipi? Kwani tbc ni kitu gani?
Wanajiita television ya taifa huku wanatengeneza pesa?
Walichukua haki ya redio zingine kwa kutumia pesa ya walipakodi na hawataki kuilipa Yanga?
Nawapongeza sana Yanga kwa kazi nzuri.
Usipotoshe. Yale ni mashindano ya loosers sio club bingwa. Yanga ni luzaHakuna cha uhuni ile ni klabu bingwa na si ligi kuu. Tbc wanamkataba wa kurusha matangazo ya ligi kuu. Tbc walipaswa kununua haki
Wewe hizo ni biashara. Unatakiwa ununue haki kutangaza. Yaani atangaze bila kulipa halafu yeye TBC katikati ya matangazo ya mpira atangaze REVOLA etc huku akiwa amelipwa..!? ACHA UTOTONilikua mbali na tv nikasema ngoja nitumie simu kusikiliza mpira kupitia redio nawasha tbc hola kila nikijalibu nikajiuliza leo kunani kumbe wahuni wamewazuia mechi yao isitangazwe redioni ata na chombo Cha taifa.
Basi mwenyewe unajiona mjaanja, kusikiliza TBC!Nilikua mbali na tv nikasema ngoja nitumie simu kusikiliza mpira kupitia redio nawasha tbc hola kila nikijalibu nikajiuliza leo kunani kumbe wahuni wamewazuia mechi yao isitangazwe redioni ata na chombo Cha taifa.
Wakufe kabisa😆😆😆Acheni Watu Wale Mihogo Yao Iwakabe Kooni
U fm walitangaza ungetune hukoNilikua mbali na tv nikasema ngoja nitumie simu kusikiliza mpira kupitia redio nawasha tbc hola kila nikijalibu nikajiuliza leo kunani kumbe wahuni wamewazuia mechi yao isitangazwe redioni ata na chombo Cha taifa.