Hili la Wabongo kusuasua kwa maamuzi linakaa vipi

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
32,377
50,767
Leo Wabongo wameghairi makubaliano baina ya EAC na EU. Inakua vigumu sana kutabiri ndugu zetu hawa, hata kama wana hoja ya msingi au la, tatizo wanakua vigeugeu hadi hawaaminiki kwa lolote. Leo wanakubali hiki, kesho wanaghairi, kesho kutwa wanakubali hicho hicho mtondogoo wanaghairi kile kile cha mwanzo.

Sasa sielewi itakua labda wanawatuma vi.laza kwenye hivi vikao wanaokwenda kushangaashangaa, au kingereza kinakua changamoto kwao. Maana makubaliano mengi sana ya EAC yanakwama kwa ajili ya hili tatizo la Wabongo kusuasua, watakuambia subiri tukakae wenyewe halafu tutakupa jibu, baadaye wanakubali, kabla hamjatulia wanaibuka na kukatalia.

Wengine tukipiga moyo konde na kuamua kufanya maamuzi, Wabongo wanalia ooh mnatutenga, ooh sasa hiyo CoW yenu haitokwenda bila Wabongo. Dah! shughuli sana.
 
Tanzania tunasonga kama nchi siyo mtu mikataba ya mangungo kwetu ni big NO ingieni nyie sie wananchi wenye nchi hawataki. Nyie viongozi wenu wenye nchi acha wasaini. Utalii tulikataa, ardhi no, common visa no kama mnataka anzishesheni umoja wenu wa Kenya, Uganda na rwanda mbona umewashinda mmerudi tena kwetu.
 
Leo Wabongo wameghairi makubaliano baina ya EAC na EU. Inakua vigumu sana kutabiri ndugu zetu hawa, hata kama wana hoja ya msingi au la, tatizo wanakua vigeugeu hadi hawaaminiki kwa lolote. Leo wanakubali hiki, kesho wanaghairi, kesho kutwa wanakubali hicho hicho mtondogoo wanaghairi kile kile cha mwanzo.

Sasa sielewi itakua labda wanawatuma vi.laza kwenye hivi vikao wanaokwenda kushangaashangaa, au kingereza kinakua changamoto kwao. Maana makubaliano mengi sana ya EAC yanakwama kwa ajili ya hili tatizo la Wabongo kusuasua, watakuambia subiri tukakae wenyewe halafu tutakupa jibu, baadaye wanakubali, kabla hamjatulia wanaibuka na kukatalia.

Wengine tukipiga moyo konde na kuamua kufanya maamuzi, Wabongo wanalia ooh mnatutenga, ooh sasa hiyo CoW yenu haitokwenda bila Wabongo. Dah! shughuli sana.
Huwa ni kawaida sana kwa asiye jiamini kukomaa katika hii hali ya kusuasua. Ama kweli jambo usilolielewa ni kama usiku wa giza, inabidi upeleke mguu kwa makini maaana yake huna uhakika na penye unakanyaga. Ni kwa sababu hii ya kutoelewa ndio huwa ni lazima wasite ama wageuze kauli dhidi ya maamuzi ya awali.
 
Leo Wabongo wameghairi makubaliano baina ya EAC na EU. Inakua vigumu sana kutabiri ndugu zetu hawa, hata kama wana hoja ya msingi au la, tatizo wanakua vigeugeu hadi hawaaminiki kwa lolote. Leo wanakubali hiki, kesho wanaghairi, kesho kutwa wanakubali hicho hicho mtondogoo wanaghairi kile kile cha mwanzo.

Sasa sielewi itakua labda wanawatuma vi.laza kwenye hivi vikao wanaokwenda kushangaashangaa, au kingereza kinakua changamoto kwao. Maana makubaliano mengi sana ya EAC yanakwama kwa ajili ya hili tatizo la Wabongo kusuasua, watakuambia subiri tukakae wenyewe halafu tutakupa jibu, baadaye wanakubali, kabla hamjatulia wanaibuka na kukatalia.

Wengine tukipiga moyo konde na kuamua kufanya maamuzi, Wabongo wanalia ooh mnatutenga, ooh sasa hiyo CoW yenu haitokwenda bila Wabongo. Dah! shughuli sana.
Pole mkuu,
It seems umeumia sana.
 
Uganda will regret its misguided decision in the coming years to break off the deal with Kenya and go with Tanzania.
For all these years he's been in power and dealt with the EAC, doesnt M7 already know how capricious these Tanzanians can be? Criusly?
 
Icho kingereza ni lugha tu ambayo ata mtu ambae hajasoma azungumza na sio kipimo cha intelligence .....you must stop thinking that English is the measure of understanding....ni lugha tu kama kichaga au luo acha ushamba wewe
 
Leo Wabongo wameghairi makubaliano baina ya EAC na EU. Inakua vigumu sana kutabiri ndugu zetu hawa, hata kama wana hoja ya msingi au la, tatizo wanakua vigeugeu hadi hawaaminiki kwa lolote. Leo wanakubali hiki, kesho wanaghairi, kesho kutwa wanakubali hicho hicho mtondogoo wanaghairi kile kile cha mwanzo.

Sasa sielewi itakua labda wanawatuma vi.laza kwenye hivi vikao wanaokwenda kushangaashangaa, au kingereza kinakua changamoto kwao. Maana makubaliano mengi sana ya EAC yanakwama kwa ajili ya hili tatizo la Wabongo kusuasua, watakuambia subiri tukakae wenyewe halafu tutakupa jibu, baadaye wanakubali, kabla hamjatulia wanaibuka na kukatalia.

Wengine tukipiga moyo konde na kuamua kufanya maamuzi, Wabongo wanalia ooh mnatutenga, ooh sasa hiyo CoW yenu haitokwenda bila Wabongo. Dah! shughuli sana.


Ni kwa sababu Viongozi wa TanZania wanajali TanZania na wanaipenda ila viongozi wa Kenya, Uganda &Co. hawazipendi nchi zao na ndio maana wanatumiwa na Wafanyabiashara ambao hata hivyo siyo Wakenya, kinachoisukuma Kenya hapa kwenye EPA ni hiyo biashara ya maua lkn labda usichokifahamu ni kwamba biashara ya maua Kenya siyo ya Mkenya bali inamilikiwa na Wazungu wa Uholanzi na hawa ndiyo wanaolobi ili waweze kufaidika na EPA kwa maana watauza maua tax free Ulaya lkn vipi kuhusu sekta nyingine za Kenya?

Vipi kuhusu mfugaji Kuku wa mayai ambaye anategemea kuuza Mayai yake Nakumat atashindana vipi na Mayai ktk EU ambayo ni full automated na isitoshe EU inatoa farm subsidies kwa wakulima wao? Vipi maziwa industry itashindana vp na ya EU, kuhusu textile industry ambayo Kenya wala haipo?
Sasa kama hata haijaanzishwa itawezaje kuanzishwa kama tayari textile zinakuja tax free ktk EU, vipi khs dairy products? Kenya inaweza vp kushindana na Dairy products ktk Denmark nchi inayoongoza Duniani kwenye hii industry?
Na hii ni karibia kila kitu, kuanzia cement ya Eu mpaka mafuta ya kujipaka!

Tatizo kubwa la Kenya inaongozwa na malobbyst ambao ni wabinafsi na hawana interest na maisha ya Mkenya wa kawaida na hawa ndiyo wanaowatumia wanasiasa kufanya maamuzi!
 
Leo Wabongo wameghairi makubaliano baina ya EAC na EU. Inakua vigumu sana kutabiri ndugu zetu hawa, hata kama wana hoja ya msingi au la, tatizo wanakua vigeugeu hadi hawaaminiki kwa lolote. Leo wanakubali hiki, kesho wanaghairi, kesho kutwa wanakubali hicho hicho mtondogoo wanaghairi kile kile cha mwanzo.

Sasa sielewi itakua labda wanawatuma vi.laza kwenye hivi vikao wanaokwenda kushangaashangaa, au kingereza kinakua changamoto kwao. Maana makubaliano mengi sana ya EAC yanakwama kwa ajili ya hili tatizo la Wabongo kusuasua, watakuambia subiri tukakae wenyewe halafu tutakupa jibu, baadaye wanakubali, kabla hamjatulia wanaibuka na kukatalia.

Wengine tukipiga moyo konde na kuamua kufanya maamuzi, Wabongo wanalia ooh mnatutenga, ooh sasa hiyo CoW yenu haitokwenda bila Wabongo. Dah! shughuli sana.
Fanyeni yenu bongo haihitaji mikataba ya kulambana miguu soma tu alama za nyakati jijaze basi
 
Eti kiingereza!!!
Kunawatu mnaishi kwa bahatimbaya tu .

Nimoja ya kukufahamisha kuwa
Tanzania ni nchi isiyo pelekwa hovyo na nchi yeyote ile,
Uamuzi wake hauna hasara kwa watanzania wake,
Kenya muache porojo mnakomaza chuki ya chini kwa chini na Tanzania
Tunako elekea mjue nikugumu
 
Icho kingereza ni lugha tu ambayo ata mtu ambae hajasoma azungumza na sio kipimo cha intelligence .....you must stop thinking that English is the measure of understanding....ni lugha tu kama kichaga au luo acha ushamba wewe
Mkuu, kumbuka pia kiingereza ni lugha iliyoletwa na mkoloni(mnyonyaji aliyefanya waafrica hatujiamini hadi leo), wakati wa ukoloni,

Kwaiyo kama mtu anadhani kuongea kingereza ni ujanja ama ndio kipimo cha uelewa huyo ni Mpumbavu na ni wazi mkoloni alifanikiwa kumshika kalio na anaendelea kumshika kalio hadi Leo..
 
Uganda will regret its misguided decision in the coming years to break off the deal with Kenya and go with Tanzania.
For all these years he's been in power and dealt with the EAC, doesnt M7 already know how capricious these Tanzanians can be? Criusly?
Do you have anything to teach M7?
 
Ni kwa sababu Viongozi wa TanZania wanajali TanZania na wanaipenda ila viongozi wa Kenya, Uganda &Co. hawazipendi nchi zao na ndio maana wanatumiwa na Wafanyabiashara ambao hata hivyo siyo Wakenya, kinachoisukuma Kenya hapa kwenye EPA ni hiyo biashara ya maua lkn labda usichokifahamu ni kwamba biashara ya maua Kenya siyo ya Mkenya bali inamilikiwa na Wazungu wa Uholanzi na hawa ndiyo wanaolobi ili waweze kufaidika na EPA kwa maana watauza maua tax free Ulaya lkn vipi kuhusu sekta nyingine za Kenya?

Vipi kuhusu mfugaji Kuku wa mayai ambaye anategemea kuuza Mayai yake Nakumat atashindana vipi na Mayai ktk EU ambayo ni full automated na isitoshe EU inatoa farm subsidies kwa wakulima wao? Vipi maziwa industry itashindana vp na ya EU, kuhusu textile industry ambayo Kenya wala haipo?
Sasa kama hata haijaanzishwa itawezaje kuanzishwa kama tayari textile zinakuja tax free ktk EU, vipi khs dairy products? Kenya inaweza vp kushindana na Dairy products ktk Denmark nchi inayoongoza Duniani kwenye hii industry?
Na hii ni karibia kila kitu, kuanzia cement ya Eu mpaka mafuta ya kujipaka!

Tatizo kubwa la Kenya inaongozwa na malobbyst ambao ni wabinafsi na hawana interest na maisha ya Mkenya wa kawaida na hawa ndiyo wanaowatumia wanasiasa kufanya maamuzi!

Mkuu wazungu wakulima na wafanya biashara huko Kenya ndio wanashupalia suala hili - wabantu wanasindikiza tu - kelele nyingi na kujitia ujuaji - wabantu wanao faidi nchini Kenya ni familia ya Kenyetta na genge lake wengine ni wasindikisaji.
 
Pole mkuu,
It seems umeumia sana.

Kweli inauma maana mnatuchelewesha wakati ulimwengu wa sasa unataka mambo yafanywe kwa kasi, kwa kingereza tunaita "thinking on your feet", viongozi wenye uwezo wa kuangalia issue, kuwaza na kwa muda mfupi kufanya maamuzi yenye busara. Sio kila siku mnaibuka na "tutakutana tukae"

Halafu mnakosa maamuzi ya kueleweka, maana mnachokatalia leo, mnakikubali kesho halafu mnaghairi kesho kutwa tena mnakubalia mtondogoo, hicho hicho cha mwanzo. Tunaheshimu maamuzi yenu, haswa kama yanalenga kuwanufaisha Watanzania, lakini mfanye maamuzi na kuja na msimamo mmoja ambao unaeleweka na kutiwa muhuri. Lakini hili la leo hiki, kesho kile....

Huo mnaita uzalendo na umakini wenu kwenye kufanya maamuzi nina mashaka nalo maana nchi yenu bado inaliwa, mna madini lakini bado maskini kweli.
 
MK254 kwanza naomba nikupongeze, maana unajua every corner ya Tanzania kuliko hata unavyoijua Kenya yenu, hata Kiswahili chako kiko super. Nakushauri uchukue uraia wa Tanzania, Mimi nitakuwa mdhamini wako
 
MK254 kwanza naomba nikupongeze, maana unajua every corner ya Tanzania kuliko hata unavyoijua Kenya yenu, hata Kiswahili chako kiko super. Nakushauri uchukue uraia wa Tanzania, Mimi nitakuwa mdhamini wako

Asante, japo ni kawaida yangu kujifunza lugha nyingi na kuziongea ipasavyo, kwa mfano ukinikuta kijijini wakati najadili masuala nyeti na wazee, huku tukitumia kilugha cha asili yangu cha Kikikuyu, utadhani naishi huko siku zote.

Hata Bongo nilijaribu sana kujifunza Kinyakyusa, Kihaya/Kinyambo na kadhalika.

Hilo la uraia, asante kwa ofa, lakini niliapa kamwe sitaihama nchi yangu, naipenda kwa dhati na haitotokea nibadilishe uraia. Japo napenda kutembelea maeneo mengi kwenye nchi za watu na kujifunza desturi zao kwa kina. Tanzania nimekatiza mikoa mingi sana, nina washikaji wengi sana humo.

Kuna vijiji Bongo ambavyo nikiwaibukia leo, itakua raha aisei, maana niliacha sifa nzuri huko.
 
Back
Top Bottom