Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama ametoboa amefanya kitu kizuri sana sana kwa kuuenzi kwa vitendo utamaduni wa Mwafrika MMASAI ambae hutoboa sikio na kuvaa hereni za asili,yeye atakuwa ameboresha
kama ametoboa amefanya kitu kizuri sana sana kwa kuuenzi kwa vitendo utamaduni wa Mwafrika MMASAI ambae hutoboa sikio na kuvaa hereni za asili,yeye atakuwa ameboresha
yeye katoboa sikio 1. Wamasaia huwa wanatoboa maskio mawilii
Naona umekosa kitu cha maana chakuongea . Fanya hivi .... Nendeni mshaurini mgombea wenu ajifunze kuongea kwa nukta na kujenga hoja sio anaongea kama cherehani alafu hamna point yoyote ya maana anaongea.
Me sioni ubaya wowote.Kama utendaji wake ni mzuri which is nat true basi haina tatizo
Kuna moja kati ya sikio ukitoboa unaashiria kuwa wewe ni bwabwa.Sijui kamanda wa magamba ametoboa sikio gani?