Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,355
- 6,709
Habari wadau wa JF.
Leo nimesikia habari Magazetini kuwa Rc Arusha ndugu Mrisho Gambo amemwelekeza RAS Arusha kuwapa barua ya onyo wakuu wa wilaya mkoani humo.
Tafadhali aliye na habari kamili atujuze wakuu hawa wa wilaya wamevurunda nini.
Leo nimesikia habari Magazetini kuwa Rc Arusha ndugu Mrisho Gambo amemwelekeza RAS Arusha kuwapa barua ya onyo wakuu wa wilaya mkoani humo.
Tafadhali aliye na habari kamili atujuze wakuu hawa wa wilaya wamevurunda nini.