Tulikuwa tumesonga mbele sana katika utoaji wa passport. Ukikamilisha taratibu, unapewa passport. Kuna tatizo gani uhamiaji sasa hivi? Mbona tarehe za ahadi zinapita? Hayo mabadiliko ndiyo yamevuruga? Hivi tumefika mahali kila kitu lazima tupige kelele. Hivi Waziri wa Idara hii nyeti ni nani vile!!!