Kiukweli kuna mambo yanayokuwa yanaendelea nchi hii kwa baadhi ya waliopewa dhamana ya kutuongoza yanakatisha tamaa mfano hili jipu kukosa mtumbuaji Mbinga kurugenzi SACCOS ni SACCOS iliyo chini ya mkurugenzi cha kushangaza SACCOS hii imesitisha kutoa huduma na pesa zetu hazieleweke ziko wapi kila ukiwafuata.
Wanakuambia hawana pesa kila mwezi wanakusanya pesa kutoka kwa wanachama hizi pesa zinakwenda wapi? kiukweli kama serikali haitaanza kufuatilia hizi SACCOS inaweza baadaye ikaleta shida haiwezekani Mbinga kurugenzi inakusanya pesa nyingi sana kupitia wanachama wake halafu unaambiwa SACCOS haina pesa ya kulipa wanachama wake.
Haina uwezo tena hata wakutoa mikopo kwa wanachama wake pesa zinzkwenda wapi na kwa bahati mbaya Ruvuma sijuwi tunamkosi.
Ombi langu kwa mh Rais tunaomba utuletee Mh Paul Makonda angalau kwa mwenzi mmoja naamini haya ataweza kuyamaliza ila hawa waliopo sioni wanachokifanya
Wanakuambia hawana pesa kila mwezi wanakusanya pesa kutoka kwa wanachama hizi pesa zinakwenda wapi? kiukweli kama serikali haitaanza kufuatilia hizi SACCOS inaweza baadaye ikaleta shida haiwezekani Mbinga kurugenzi inakusanya pesa nyingi sana kupitia wanachama wake halafu unaambiwa SACCOS haina pesa ya kulipa wanachama wake.
Haina uwezo tena hata wakutoa mikopo kwa wanachama wake pesa zinzkwenda wapi na kwa bahati mbaya Ruvuma sijuwi tunamkosi.
Ombi langu kwa mh Rais tunaomba utuletee Mh Paul Makonda angalau kwa mwenzi mmoja naamini haya ataweza kuyamaliza ila hawa waliopo sioni wanachokifanya