Magu alikuta 403 sasa hivi wapo 2260Mbona nimesikia walikuwa 300 sasa hivi WAPO 600
Mtia mada acha uvivu tumia akili yako kuzingatia maelezo ya JPMVoid!!!!!!
Tena kasema huyo msukuma aliyefukuzwa ikulu kwa kuchelewa kuweka incubator ilikuwa tausi 1 kataga mayai 50 na akatotoa miwiliMzee Kikwete alisema, kila tausi hutaga mayai kuanzia 20 hadi 50.
Kama tausi mmoja anaweza kutaga mayai zaidi ya 40 yakawekwa kwenye Incubator hawataongezeka kweli ! labda tuendelee na mjadala wa kisiasaVoid!!!!!!
Hapo hesabu zinaenda sawa. No doubtTena kasema huyo msukuma aliyefukuzwa ikulu kwa kuchelewa kuweka incubator ilikuwa tausi 1 kataga mayai 50 na akatotoa miwili
Ndio alichokuwa akijiuliza Mh Kikwete inakuwaje iwe namna hiyo.
Kwa maana kwa utotoaji wa incubator na kila tausi alifikisha mayai 40-50 na ukifanya majike ni 200 hiyo hesabu ni ndogo kwa iwapo kama wametaga mara tatu tu utaona walitakiwa wawe wangapi.
Tusipinge kila kitu idadi hiyo huenda ikawa ni ndogo kwa utotoleshaji wa incubator.
kisichowezekana ni nini, kula?Wabongo wangapi Wana bustani ya kutunza Tausi? Labda angetugawia tule kitu ambacho hakiwezekani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hukusikia kuwa JK alimshauri mambo ya kutotolesha mayai kwa incubator? Maana kabla ya kutumia incubator, tausi mmoja alitaga mayai 25 lakini akatotoa mayai mawili pekee. Sasa mjadala unataka uwe kuhusu utotoaji wa bila incubator(asili) dhidi ya utotoleshaji kwa kutumia incubator upi ni mzuri?
Ulisikia wapi huo utumbo?Mbona nimesikia walikuwa 300 sasa hivi WAPO 600
HAYO NI MAAJABUVoid!!!!!!
Kenya
Tuliza munkari Bob. Hii nchi anayeifaidi ni Makonda.
Watu wengi wamekuwa ni pinga pinga tu na wenye kutoa conspiracies nyingi sana.Kwani hukusikia kuwa JK alimshauri mambo ya kutotolesha mayai kwa incubator? Maana kabla ya kutumia incubator, tausi mmoja alitaga mayai 25 lakini akatotoa mayai mawili pekee. Sasa mjadala unataka uwe kuhusu utotoaji wa bila incubator(asili) dhidi ya utotoleshaji kwa kutumia incubator upi ni mzuri?