Yes/No, kwangu ni kuwa na Katiba Mpya, katiba hii itampa sitting president uwezo wa to hire and fire only cabinet members, wengine wote ni lazima waombe na interview zifanyike kwa kuhusisha Bunge, wanapoharibu ni wajibu wa Bunge kuchukua hatua, na kuwafukuza ni lazima 2/3 ya MPs waridhie,hawa CEOs ni kama mkuu wa police, DPP, Mkuu wa Majeshi etc etc, kinyume chake tutaendelea kushuhudia haya.