yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
Hebu nisaidieni mwenzenu kila kampuni ninayofanya kazi lazima ife ni gundu au?,iNikiwa kijana wa miaka 18 enzi hizo niliajiriwa TANGANYIKA PACKERS muda sio mrefu ikafa,nikatafuta kazi kwa juhudi,nikaajiriwa kampuni ya simu ya TRITELnayo ikafa, nikapata ajira CITY WATER nlipofikisha mwezi1 nayo ikadedi,nikasaka ajira tena nikapata paleee G TV, nayo ikafagiliwa na mtiksiko wa uchumi nayo ikadedi ghafra ka michael jakson.UDA,ikawa hivohivo, nililia sanaa jamani.Lakini sasa ninafuraha sana kwani nimepata kazi Tanesko.