hili gundu au?

hili gundu au?

Hebu nisaidieni mwenzenu kila kampuni ninayofanya kazi lazima ife ni gundu au?,iNikiwa kijana wa miaka 18 enzi hizo niliajiriwa TANGANYIKA PACKERS muda sio mrefu ikafa,nikatafuta kazi kwa juhudi,nikaajiriwa kampuni ya simu ya TRITELnayo ikafa, nikapata ajira CITY WATER nlipofikisha mwezi1 nayo ikadedi,nikasaka ajira tena nikapata paleee G TV, nayo ikafagiliwa na mtiksiko wa uchumi nayo ikadedi ghafra ka michael jakson.UDA,ikawa hivohivo, nililia sanaa jamani.Lakini sasa ninafuraha sana kwani nimepata kazi Tanesko.
Umeasahau ulishaajiriwa na DOWANS nayo ikafa.
 
Hahaha halafu na ww si ulikuwa enginia wa ndege pale ATCL........mjini shule!
 
Hebu nisaidieni mwenzenu kila kampuni ninayofanya kazi lazima ife ni gundu au?,iNikiwa kijana wa miaka 18 enzi hizo niliajiriwa TANGANYIKA PACKERS muda sio mrefu ikafa,nikatafuta kazi kwa juhudi,nikaajiriwa kampuni ya simu ya TRITELnayo ikafa, nikapata ajira CITY WATER nlipofikisha mwezi1 nayo ikadedi,nikasaka ajira tena nikapata paleee G TV, nayo ikafagiliwa na mtiksiko wa uchumi nayo ikadedi ghafra ka michael jakson.UDA,ikawa hivohivo, nililia sanaa jamani.Lakini sasa ninafuraha sana kwani nimepata kazi Tanesko.

Halafu kama nilikuona kwenye listi ya wanaozungushwa malipo yao
ya Afrika Mashariki, nasikia uliajiriwa mwaka 1977 mwezi mmoja kabla
haijavunjwa...
 
Jomba mrudie mungu wako kwanzia sasa coz itakuwa labda nawe ukombioni.
 
chukua maji ya baharini changanya na ndimu na magadi, kisha yaweke kwa siku tatu gizani, siku ya nne chukua maji yaliyotumika kuoshea maiti changanya na yale ya kutoka vyooni halafu kunywa mengine uwe unanawa usoni kwa muda wa siku saba, kwa hakika hautakosa kazi tena kwa kisingizia ocha makampuni kufa
 
Hebu nisaidieni mwenzenu kila kampuni ninayofanya kazi lazima ife ni gundu au?,iNikiwa kijana wa miaka 18 enzi hizo niliajiriwa TANGANYIKA PACKERS muda sio mrefu ikafa,nikatafuta kazi kwa juhudi,nikaajiriwa kampuni ya simu ya TRITELnayo ikafa, nikapata ajira CITY WATER nlipofikisha mwezi1 nayo ikadedi,nikasaka ajira tena nikapata paleee G TV, nayo ikafagiliwa na mtiksiko wa uchumi nayo ikadedi ghafra ka michael jakson.UDA,ikawa hivohivo, nililia sanaa jamani.Lakini sasa ninafuraha sana kwani nimepata kazi Tanesko.


mkuu una elimu gani maana isije ikawa una kaelimu ka darasa la saba kwa kufanya kazi za kufagia jikoni na koridoni halafu utegemee uwe considered at time of economic vagaries? Nenda kajiendeleze ili taanesiko kimbunga kikipita usalimike
 
Back
Top Bottom