mnakoelekea mtatongozana nyie, hahaahhaaaa I pressume....mtahamia kwenye Pm halafu mtahamia kwenye hilo gari halafu mtahamia, halafu mtahamia halafu.....God Forbid Jerrymsigwa
Mabawa ni kwaajili ya kitu kama ndege kwani inaisaidia kupaa, sasa gari unaweka hivyo unaliongezea tu uzito usiokuwa na sababu maalum :shocked::shocked::shocked: