Hili draft mbona silielewi

Hili draft mbona silielewi

Salam wakuu. Mimi ni mpenzi wa draft,Sasa nimeingia humu jukwaani nikakuta wengi wanalisifia hili draft la dalmax liko plastore.

Nikasema ngoja nikalipakue nione Lina nini cha ziada, nimelipakuwa nimelifungua lakin kuna Mambo siyaelewi

Kwanza huyu sijui ndo dalmax anajifikiria sana yaani anachelewa kusukuma kete
Pili hili draft sio Kama haya tulioyazea haliruhusu king kuruka

Hata ladha ya kucheza draft imepotea

Hebu wakuu naombeni mnielekeze draft ambalo halina longolongo make hili la dalmax silielewi

Natanguliza shukrani

NB: Tusameheane sio mzuri sana kwenye uandishi
Mrejesho baada ya
Salam wakuu. Mimi ni mpenzi wa draft,Sasa nimeingia humu jukwaani nikakuta wengi wanalisifia hili draft la dalmax liko plastore.

Nikasema ngoja nikalipakue nione Lina nini cha ziada, nimelipakuwa nimelifungua lakin kuna Mambo siyaelewi

Kwanza huyu sijui ndo dalmax anajifikiria sana yaani anachelewa kusukuma kete
Pili hili draft sio Kama haya tulioyazea haliruhusu king kuruka

Hata ladha ya kucheza draft imepotea

Hebu wakuu naombeni mnielekeze draft ambalo halina longolongo make hili la dalmax silielewi

Natanguliza shukrani

NB: Tusameheane sio mzuri sana kwenye uandishi
Mrejesho baada ya maoni ya wadau hatimae limekubali kwenye Tanzania rule Ila nilichogundua huyu jamaa ili umfunge Basi unaotakiwa utulize akili na uwe umekula umeshiba maana mmmhhh ngoja tu nikaushe
 
Mrejesho baada ya

Mrejesho baada ya maoni ya wadau hatimae limekubali kwenye Tanzania rule Ila nilichogundua huyu jamaa ili umfunge Basi unaotakiwa utulize akili na uwe umekula umeshiba maana mmmhhh ngoja tu nikaushe
Umefanikiwa au bado anakupa shida?
 
Back
Top Bottom