Godoro la kioo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2025
- 364
- 728
Salam wakuu. Mimi ni mpenzi wa draft,Sasa nimeingia humu jukwaani nikakuta wengi wanalisifia hili draft la dalmax liko plastore.
Nikasema ngoja nikalipakue nione Lina nini cha ziada, nimelipakuwa nimelifungua lakin kuna Mambo siyaelewi
Kwanza huyu sijui ndo dalmax anajifikiria sana yaani anachelewa kusukuma kete
Pili hili draft sio Kama haya tulioyazea haliruhusu king kuruka
Hata ladha ya kucheza draft imepotea
Hebu wakuu naombeni mnielekeze draft ambalo halina longolongo make hili la dalmax silielewi
Natanguliza shukrani
NB: Tusameheane sio mzuri sana kwenye uandishi
Nikasema ngoja nikalipakue nione Lina nini cha ziada, nimelipakuwa nimelifungua lakin kuna Mambo siyaelewi
Kwanza huyu sijui ndo dalmax anajifikiria sana yaani anachelewa kusukuma kete
Pili hili draft sio Kama haya tulioyazea haliruhusu king kuruka
Hata ladha ya kucheza draft imepotea
Hebu wakuu naombeni mnielekeze draft ambalo halina longolongo make hili la dalmax silielewi
Natanguliza shukrani
NB: Tusameheane sio mzuri sana kwenye uandishi