Hiki wanachofanya Tigo siyo utapeli?

Kwayu

Platinum Member
Joined
Nov 8, 2007
Posts
511
Reaction score
108
Inafahamika kwamba kwa sasa tigo Tanzania inamilikiwa na kampuni inayoitwa HONORA TANZANIA PLC, lakini kwenye website au hata kwenye huduma zao kama za bustisha n.k terms and conditions zinasoma bado MIC.

Hii imeekaaje kisheria incase wamezingua kwenye tigo pesa huduma ya nivushe ambayo terms and conditions kampuni inayosomeka ni MIC.

Kampuni itakayowajibika kushtaki au kushtakiwa ni Honora au MIC?
 
 

Attachments

  • FB_IMG_1727368868627.jpg
    57.3 KB · Views: 20
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…