BIBOR
New Member
- May 17, 2018
- 2
- 0
katika kutembea njiani mara kumbukumbu zikapotea nikahisi kama sio mimi huyu, kama vile nimekuwa mtu mwingine na kumbukumbu zikanitoa kwenye uhalisia kuwa nimekua mtu mwingine na niliwaza mambo mengine na kuwakumbuka watu ambao nilikuwa siwajui hapo kabla, nikasimama kwa kustaajabu,
baada ya muda kidogo zikarudi kumbukumbu za awali za mimi ambaye ninaandika sasa huu uzi ambaye ndio mimi halisi.
nimestaajabu sana wakuu.
naombeni mnisaidie hii kitu ina maana gani?
pia nataka kujua kama kumpukumbu zile ni za kwangu mimi au zilikuwa za mtu mwingine.
Wadau hii kitu imenitokea kweli.
baada ya muda kidogo zikarudi kumbukumbu za awali za mimi ambaye ninaandika sasa huu uzi ambaye ndio mimi halisi.
nimestaajabu sana wakuu.
naombeni mnisaidie hii kitu ina maana gani?
pia nataka kujua kama kumpukumbu zile ni za kwangu mimi au zilikuwa za mtu mwingine.
Wadau hii kitu imenitokea kweli.