Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 8,592
- 19,003
Daahhh halafu anavaa gloves hii si dharau jamani wakati huku ni kuzibusu na kuzikumbatia walaah huku kiroho kinakudunda kiwoga woga
Huyo mfanyakazi tu huwenda hata kiasi kilichomo kwenye box moja hanacho kwenye acc yake yabankDaahhh halafu anavaa gloves hii si dharau jamani wakati huku ni kuzibusu na kuzikumbatia walaah huku kiroho kinakudunda kiwoga woga
Tukiambiwa mabeberu wana hela tusibishe.....Kiko wapi kwa hapa bongo mkubwa
Kiko pande zipi ndugu? Tupeane ramani.
Ningekua na uwezo ningezichapisha pesa kila nnahitaji kuzitumiaKiko wapi kwa hapa bongo mkubwa
Kiko pande zipi ndugu? Tupeane ramani.
Umenifanya nicheke!Daahhh halafu anavaa gloves hii si dharau jamani wakati huku ni kuzibusu na kuzikumbatia walaah huku kiroho kinakudunda kiwoga woga
