Hiki ni chumba cha kuhifadhia hela

Hiki ni chumba cha kuhifadhia hela

Waziri wa Kaskazini

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2015
Posts
8,592
Reaction score
19,003
70330650_901710710201988_3736493978401374208_n.jpg


71049403_902108190162240_2461420447095324672_n.jpg


70326856_902106686829057_8422829934342307840_n.jpg
 
Hivi hela ni mpango wa mungu au mwanadamu tu ndo alibuni,,,?
 
Daahhh halafu anavaa gloves hii si dharau jamani wakati huku ni kuzibusu na kuzikumbatia walaah huku kiroho kinakudunda kiwoga woga
Umenifanya nicheke!
Kuna dada nimuona anapokea pesa bank, akazibusu, Kisha akaongea kilugha, nahisi Ni mchaga, hata kimuonekano, nilicheka Sana bank!
 
Back
Top Bottom