Hiki ndo kinachoendelea Jerusalem sasa hivi

Hiki ndo kinachoendelea Jerusalem sasa hivi

Damu ya wapalestina inamwagika kama maji dunia imekaa kimya
Wewe umeona damu ya wapalestina ya ndugu zako watanzania wenzio wanao pigwa risasi na polisi wanao okotwa ufukweni hujaona!! Na wala hujafungua mdomo kulalamika!! Dunia inakaa kimiya ila ya palestina imekuuma!!! Africa africa nani kakuloga!!!!
 
Wewe umeona damu ya wapalestina ya ndugu zako watanzania wenzio wanao pigwa risasi na polisi wanao okotwa ufukweni hujaona!! Na wala hujafungua mdomo kulalamika!! Dunia inakaa kimiya ila ya palestina imekuuma!!! Africa africa nani kakuloga!!!!

Acha roho mbaya mkuu! Kama wewe haikuumi ni wewe binafsi....ila wengine inatuuma sana,,, alafu unasema africa nani katuloga!!! Duh! Jitathmini upya mkuu!
 
Dunia inaongozwa na wanaume wanotimiza maandiko( Jesus) na wanaume wanoumizwa na Maandiko ( Yuda). Trump ndio mwanaume anaeipeleka dunia kwenye msingi wake, wengine kama wapalestina, russia, China, ulaya, waarabu ni makwazo madogo madogo tu. Kiufupi Israel na Marekani (USA) ndio hesabu ya Mungu, wengine wana hiari kufuata upande wa Israel (baraka) au upande wa Waarabu(laana). Hakuna mshindi zaidi ya Israel hapo, poleni watoto wa Hajra Mmsiri.
Una ushabiki haswa!
 
mbn zamani walikua na umoja? walipigana mpk vita na muisrael, waliungana wakamuwekea marekani vikwazo..nchi za kiarabu zimejitoa sana hapo kabla kwajili ya palestine, jiulize kwann cku hizi hawaonekani kuguswa kama zamani, unapowatusi waarabu wote unakosea sana kuna nchi mpk leo znabeba mzgo wa wapalestina..misri,jordan syria wamepata shida sana..jiulize kwann hata misri naye ameanza kujiweka kando
"If you can't beat them, join them. Sasa ndio wamejitambua.
 
Dunia inaongozwa na wanaume wanotimiza maandiko( Jesus) na wanaume wanoumizwa na Maandiko ( Yuda). Trump ndio mwanaume anaeipeleka dunia kwenye msingi wake, wengine kama wapalestina, russia, China, ulaya, waarabu ni makwazo madogo madogo tu. Kiufupi Israel na Marekani (USA) ndio hesabu ya Mungu, wengine wana hiari kufuata upande wa Israel (baraka) au upande wa Waarabu(laana). Hakuna mshindi zaidi ya Israel hapo, poleni watoto wa Hajra Mmsiri.
Umeongea nini
 
Back
Top Bottom