Hiki ndo kinachoendelea Jerusalem sasa hivi

Hiki ndo kinachoendelea Jerusalem sasa hivi

MartinCoder

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2018
Posts
700
Reaction score
630


Raia 2 wa Palestina wameuawa na vyombo vya ulinzi vya Israel katika maandamano ya kupinga Marekani kufungua ubalozi wake katika mji wa Jerusalem. Ubalozi huo unafunguliwa rasmi leo, hafla hiyo imehudhuriwa na maafisa wa Serikali ya Marekani akiwemo mtoto wa Trump, Ivanka.
 
Hao wavaa pedo watulie kama wametawaliwa kwa miaka 70 wamekubali, wakubali tu
 
Vifo tena tayari, aseh!
Hayo maandamano is a mayhem for Israel forces, don't think they intended to use lethal weapons but..
 
Hii timing ya kufungua ubalozi si ya kitoto Israel inatimiza miaka 70 leo na wanosoma biblia wanaelewa maana ya kutimia kwa Miaka 70 ktk taifa. Hiyo ni beginning of non stop violence frm palestians.
Mahige kufungua naye mwaka huu ubalozi lakini kaufungulia Tel Aviv cha ajabu waziri wa sheria wa Israel alikuwepo ktk ufunguzi...hapo nimemuona Mahige anajikosha tuu soon or later ubalozi utahamia Jerusalem sabbu kubwa itakuwa ni kukosa huduma za haraka za kibalozi hapo atapata justification kusema kuwa but we tried....well played Mahige well played
 
Hii timing ya kufungua ubalozi si ya kitoto Israel inatimiza miaka 70 leo na wanosoma biblia wanaelewa maana ya kutimia kwa Miaka 70 ktk taifa. Hiyo ni beginning of non stop violence frm palestians.
Mahige kufungua naye mwaka huu ubalozi lakini kaufungulia Tel Aviv cha ajabu waziri wa sheria wa Israel alikuwepo ktk ufunguzi...hapo nimemuona Mahige anajikosha tuu soon or later ubalozi utahamia Jerusalem sabbu kubwa itakuwa ni kukosa huduma za haraka za kibalozi hapo atapata justification kusema kuwa but we tried....well played Mahige well played
'Mahige' ndio nani?
 
Hii dunia Taifa linaloongoza kuua watu ni USA...Ila kwa sababu mkubwa hasemwi poa tu.
 
vipi zile taasis za Chahali zimeshamwandikia Netanyahu barua?
 
Damu ya wapalestina inamwagika kama maji dunia imekaa kimya
Unataka dunia ifanye nini na huku ukweli wanauelewa, hayo ya zamani ilikuwa ni siasa tu hata Palestinians kule West Bank unaona wamepozi tu make wanafahamu ukweli na hawahitaji "Kujilipua".
 
Dunia inaongozwa na wanaume wanotimiza maandiko( Jesus) na wanaume wanoumizwa na Maandiko ( Yuda). Trump ndio mwanaume anaeipeleka dunia kwenye msingi wake, wengine kama wapalestina, russia, China, ulaya, waarabu ni makwazo madogo madogo tu. Kiufupi Israel na Marekani (USA) ndio hesabu ya Mungu, wengine wana hiari kufuata upande wa Israel (baraka) au upande wa Waarabu(laana). Hakuna mshindi zaidi ya Israel hapo, poleni watoto wa Hajra Mmsiri.
 
Taifa la Israel la kijinga sana sijapata kuona, Na nchi za Kiarabu nazo zinakosa umoja zipo tu Matambara vichwani badala ya akili.
mbn zamani walikua na umoja? walipigana mpk vita na muisrael, waliungana wakamuwekea marekani vikwazo..nchi za kiarabu zimejitoa sana hapo kabla kwajili ya palestine, jiulize kwann cku hizi hawaonekani kuguswa kama zamani, unapowatusi waarabu wote unakosea sana kuna nchi mpk leo znabeba mzgo wa wapalestina..misri,jordan syria wamepata shida sana..jiulize kwann hata misri naye ameanza kujiweka kando
 
Back
Top Bottom