Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,154
Hizo hadithi za zamani kwamba Usalama wa Taifa anajua hata unafikiria nini ndo zimewehusha watu. Lkn ukionana nao zaidi ya Mara tatu utajua ni wa kawaida tu tena wale intake ya JK ndo kabisaaa bora wale wa vipaji enzi za nyuma. Hii intake ya uvccm ya awamu hii nayo naona ni ya makundi tuHivi nyie usalama wa taifa mnawajua au mnawasikia? Kujiamini kupitiliza ni janga
Tena kama hapo walipokuwa Usalama zaidi ya mmoja ungerusha ngumi yangekukuta makubwa
Kuna dogo mmoja wa Usalama wa taifa ilikuwa Disco Musoma hiyo miaka ya nyuma kipindi cha JK ana mwili mdogo mdogo unaweza mdharau kabisa ila zilizuka ngumi alipiga watu unaweza sema anatumia uchawi walipigwa watu tifu lilikuja kuzimika wameshapotea