Hiki kinachoendelea Manispaa ya Morogoro si sawa

Hiki kinachoendelea Manispaa ya Morogoro si sawa

Talent2030

Senior Member
Joined
Aug 23, 2016
Posts
112
Reaction score
298
Manispaa ya Morogoro inalazimisha gari zinazofanya safari ndani ya mkoa ziende zikapakilie stendi ya daladala Mafiga badala ya stendi ya Msamvu.

Zoezi hili limekuja baada ya Manispaa kushindwa kesi na kampuni ya Msamvu properties kuhusu uhalali wa kukusanya mapato ndani ya stendi ya Msamvu hivyo manispaa imeamua kuzitoa gari hizo na kuzipeleka mafiga kwa lengo la kipato.

Wamiliki na madereva wamegoma kupeleka gari Mafiga hali inayosababisha kero kwa abiria. Viongozi wa manispaa kaeni chini mjifikirie upya aliewapa wazo la kujenga stendi kule amewaingiza chaka.

Yaan abiria kutoka mikoani ashuke Msamvu apande daladala mpaka Mafiga akapande gari za Turiani au Gairo hii imekaa sawa kweli?
 
Manispaa ya Morogoro inalazimisha gari zinazofanya safari ndani ya mkoa ziende zikapakilie stendi ya daladala Mafiga badala ya stendi ya msamvu

Zoezi hili limekuja baada ya Manispaa kushindwa kesi na kampuni ya Msamvu properties kuhusu uhalali wa kukusanya mapato ndani ya stendi ya msamvu hivyo manispaa imeamua kuzitoa gari hizo na kuzipeleka mafiga kwa lengo la kipato

Wamiliki na madereva wamegoma kupeleka gari Mafiga hali inayosababisha kero kwa abiria

Viongozi wa manispaa kaeni chini mjifikirie upya aliewapa wazo la kujenga stendi kule amewaingiza chaka

Yaan abiria kutoka mikoani ashuke msamvu apande daladala mpaka mafiga akapande gari za turiani au gairo hii imekaa sawa kweli?
Hii nayo ni IGA na HGA viomgozi ni walewale tofauti yao na sisi ni suti zao na kanzu na makubazi yetu.
 
Ni basi tu kwa Sababu ni Mali ya serikali. Lakini ilipaswa viongozi wote walioshauri stendi kujengwa mafiga kwa Sababu ilikuwa wahojiwe tu lengo c lilikuwa daladala za ndani ndio stendi Yao? Kwanini ilifeli? Then ndio uje uongozi mwingine uje na hiyo hoja ya kuhamisha mabasi ya kwenda wilayani kuitumia.

Lakini sio walewale waliofeli kwenye lengo la kwanza ndio haohao waje washauri eti mabasi ya kwenda wilaya za morogoro ndio waingie.
 
Warudishe stend ya zamani tu, yanapaki magari binafsi wakati pale ilikuwa pazuri tu katikati ya mji.
 
Manispaa ya Morogoro inalazimisha gari zinazofanya safari ndani ya mkoa ziende zikapakilie stendi ya daladala Mafiga badala ya stendi ya Msamvu.

Zoezi hili limekuja baada ya Manispaa kushindwa kesi na kampuni ya Msamvu properties kuhusu uhalali wa kukusanya mapato ndani ya stendi ya Msamvu hivyo manispaa imeamua kuzitoa gari hizo na kuzipeleka mafiga kwa lengo la kipato.

Wamiliki na madereva wamegoma kupeleka gari Mafiga hali inayosababisha kero kwa abiria. Viongozi wa manispaa kaeni chini mjifikirie upya aliewapa wazo la kujenga stendi kule amewaingiza chaka.

Yaan abiria kutoka mikoani ashuke Msamvu apande daladala mpaka Mafiga akapande gari za Turiani au Gairo hii imekaa sawa kweli?
Kwahiyo anaekusanya mapato sio serikali tena ni hiyo kampuni binafsi?
 
Ni basi tu kwa Sababu ni Mali ya serikali. Lakini ilipaswa viongozi wote walioshauri stendi kujengwa mafiga kwa Sababu ilikuwa wahojiwe tu lengo c lilikuwa daladala za ndani ndio stendi Yao? Kwanini ilifeli? Then ndio uje uongozi mwingine uje na hiyo hoja ya kuhamisha mabasi ya kwenda wilayani kuitumia.

Lakini sio walewale waliofeli kwenye lengo la kwanza ndio haohao waje washauri eti mabasi ya kwenda wilaya za morogoro ndio waingie.
Anaekusanya mapato hapo msamvu ni nani? Manispaa au hiyo kampuni binafsi baada ya kushinda kesi?
 
🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

Screenshot_20230825_060831_Chrome.jpg
 
Ni basi tu kwa Sababu ni Mali ya serikali. Lakini ilipaswa viongozi wote walioshauri stendi kujengwa mafiga kwa Sababu ilikuwa wahojiwe tu lengo c lilikuwa daladala za ndani ndio stendi Yao? Kwanini ilifeli? Then ndio uje uongozi mwingine uje na hiyo hoja ya kuhamisha mabasi ya kwenda wilayani kuitumia.

Lakini sio walewale waliofeli kwenye lengo la kwanza ndio haohao waje washauri eti mabasi ya kwenda wilaya za morogoro ndio waingie.
Shida walipewa eneo na viongozi wa SUA,na wao kwa ujinga wao wakaona hiyo nk fursa.

Siku zote,ukipewa kitu na taasisi kama SUA jiulize mara mbili,wangetafakari vizuri kabla ya kupoteza pesa pale.

Huenda baadae huko,ila morogoro ni kijiji kilichochangamka.

Na inawezekana morogoro kuna ufisadi mbaya kuliko mkoa wowote nchi hii.
 
Stendi ya Mafiga imekaa kushoto sana. Badala yake wangezipeleka stendi ya zamani ya mabasi iliyo kati kati ya mji au basi waanzishe stendi ndogo ndani ya uwanja wa nane nane au nje ya uwanja huo yanapopaki maroli ya mizigo na maroli sasa yahamishiwe stendi ya Mafiga.
 
🤣🤣🤣
Mkuu, wewe ulipewa wale panya nini? Wale wa kutegua mabomu.
Hapana mkuu,sua hawajui kutumia maeneo yao,viongozi wanajali mambo yao na nafasi zao,sioni mantiki ya kuwapa manispaa eneo lile.

Pia,morogoro kuna shida kubwa sana ya uongozi na rushwa.
 
Back
Top Bottom