Hiki kifurushi cha Voda kimeenda wapi?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Jan 31, 2021
7,367
12,969
Roho inaniuma sana hapa. Nimenunua GB 3 kwa 5,000 saa tatu na nusu asubuhi, cha Wik. Nimeunga hotspot, mara nyingi nafanya hivi na kwa siku natumia GB 1 hadi 2. Sasa leo hata saa haijaisha wanasema nimetumia 75%, zimebaki 731mb.

Nikasema labda kuna mtu anatumia Wifi yangu. nikachange password. wala hakuna apdate zozote nafanya. Saa hizi eti MB 173. kuna uhuni Vodacom wanatufanyia. Imewahi kukutokea hii?
 
Wamekuwa waizi sana.. ni vile hatuna namna sababu ya super net yao.

Mimi alhamis nimeunga Gb1.3 nikajiwashia WiFi kwenye desktop, kutuma vi email vya hapa na pale. Nikamaliza nikasearch kitabu flani google yan jumla hata sijamaliza masaa mawili naona ka msg ndugu mteja kifurushi chako cha internet kimekwisha.

Nikaunga tena kile buku mb 750 kusoma email .. ilikuwa ina files 2 za kudownload
Sijamaliza hata hizo mb nazo zikakata
🤣🤣

Nikarudia kuunga cha 3k gb 1.3 leo mchana kimeisha.

Kabla ya hayo yote, tar 1 nimeunga jimixie cha 20k wanatoa gb 8.. email nikajitahidi nafungulia kwenye simu lakini wapiiii sijatoboa two weeks, tar 6 sina mb hata 1


Voda wanatufilisi sanaaaaa 😫
 
Wamekuwa waizi sana.. ni vile hatuna namna sababu ya super net yao.

Mimi alhamis nimeunga Gb1.3 nikajiwashia WiFi kwenye desktop, kutuma vi email vya hapa na pale. Nikamaliza nikasearch kitabu flani google yan jumla hata sijamaliza masaa mawili naona ka msg ndugu mteja kifurushi chako cha internet kimekwisha.

Nikaunga tena kile buku mb 750 kusoma email .. ilikuwa ina files 2 za kudownload
Sijamaliza hata hizo mb nazo zikakata


Nikarudia kuunga cha 3k gb 1.3 leo mchana kimeisha.

Kabla ya hayo yote, tar 1 nimeunga jimixie cha 20k wanatoa gb 8.. email nikajitahidi nafungulia kwenye simu lakini wapiiii sijatoboa two weeks, tar 6 sina mb hata 1


Voda wanatufilisi sanaaaaa
tcra wanatoa huduma yakujua matumizi yako

ila kama unatumia window 10 au 11 zina background updates ambazo inakuaga haadi na GB 3 ivo uwe unazistopisha
 
Wamekuwa waizi sana.. ni vile hatuna namna sababu ya super net yao.

Mimi alhamis nimeunga Gb1.3 nikajiwashia WiFi kwenye desktop, kutuma vi email vya hapa na pale. Nikamaliza nikasearch kitabu flani google yan jumla hata sijamaliza masaa mawili naona ka msg ndugu mteja kifurushi chako cha internet kimekwisha.

Nikaunga tena kile buku mb 750 kusoma email .. ilikuwa ina files 2 za kudownload
Sijamaliza hata hizo mb nazo zikakata
🤣🤣

Nikarudia kuunga cha 3k gb 1.3 leo mchana kimeisha.

Kabla ya hayo yote, tar 1 nimeunga jimixie cha 20k wanatoa gb 8.. email nikajitahidi nafungulia kwenye simu lakini wapiiii sijatoboa two weeks, tar 6 sina mb hata 1


Voda wanatufilisi sanaaaaa 😫
Khaa... simu yako itakua ina tatizo...

Au utakua unaangalia sana matusi...

Vyangu mpaka muda wa mwisho wa matumizi unafika bado nakua na GB kibao zinachukuliwa najiunga upya...
 
Roho inaniuma sana hapa. Nimenunua GB 3 kwa 5,000 saa tatu na nusu asubuhi, cha Wik. Nimeunga hotspot, mara nyingi nafanya hivi na kwa siku natumia GB 1 hadi 2. Sasa leo hata saa haijaisha wanasema nimetumia 75%, zimebaki 731mb.

Nikasema labda kuna mtu anatumia Wifi yangu. nikachange password. wala hakuna apdate zozote nafanya. Saa hizi eti MB 173. kuna uhuni Vodacom wanatufanyia. Imewahi kukutokea hii?
Waambieni hatupo tena uchumi wa kati
 
Porn 🤣🤣 siangaliagi mkuu. Kwani we kwa 30K unapewaje?

Halotel ilipotea aisee, sijarenew…
Na usiwe unaangalia...

Najiunga kwa week na mpaka week inafika bado nakua na GB za kutosha zinachukuliwa najiunga tena...
 
tcra wanatoa huduma yakujua matumizi yako

ila kama unatumia window 10 au 11 zina background updates ambazo inakuaga haadi na GB 3 ivo uwe unazistopisha
Hiyo huduma naipataje?

Desktop na Pc vyote vina window 10.. na mimi sio mtundu kabisaaa
 
Back
Top Bottom