Inatisha sana..
Duh!!that was to much aisee,imani nyingine hiziMoja ya fundisho lao ambalo lilisababisha mwanzilishi wao afe ni kukufuru kwa kusema kuwa hawezi omba kwa jina la Yesu sababu Yesu ndie mwenye dhambi kuliko mtu yeyote duniani sababu alizibeba dhambi zote za Ulimwengu.Hawaombi kwa jina la Yesu kabisa wala kumuomba chochote Yesu
Hata mzee wa upako anakan yaga nyagi na papuche balaaHao nawajua kiongozi wao mmoja ni mshkaji wangu wa yupo arusha kabla ya kungia church anapiga konyagi kwanza. Waumini wao wanajiita majina ya ajabu ajabu.