Hii ya TBC imekaaje...??

Hii ya TBC imekaaje...??

Bahimba

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2013
Posts
510
Reaction score
346
Habari wana bodi wenzangu, juzi nilisoma pahara katika mitandao ya kijamii nitakutana na habari ya Rais wa Marekani bwana trump kua kamsifia Mh Rais wetu Dr Magufuri, na habari hiyo ikasemekana kurusha na kituo chetu cha taifa cha television yaani TBC 1.
Siku shangaa sana maana ni jambo la kawaida kwa Viongozi wakubwa kuwasifu Viongozi wa nchi za kiafrika pindi wanapoona kua wanaongoza katika msingi ambayo wanaona inafaa.
Sasa kilicho nifanya mpaka niandike uzi huu nipale leo nilipokutana na taarifa kua taarifa iliyotolewa na shirika letu la utangazaji haikua sahihi mpaka kupelekea wafanyakazi 9 wa kituo hicho pendwa kasimamishwa kazi kwa kutangaza jambo ambalo si sahihi,
Sasa nimebaki na maswali lukuki ambayo majibu yake sina.
1.Taarifa hiyo TBC1 waliitoa wapi..?
2.Kwa wataalamu wa mambo ya media kuna utaratibu gani ambao hutumika kupeleka habari hewani pindi inapofika katika vyombo vya habari.
3.Nani wa kulaumiwa hapo TBC1.
4.Watarejesha vipi imani ya watazamaji wa TBC1 kua habari zinazotolewa pale ni za kweli ni hayo tu.
 
TBC ni nini iyo........

Shirika ya kusaidia wakimbizi ama maana embu tuweke wazi kwanza
 
Sasa kama TBC taarifa zao si za kuaminika kiasi hicho mbona majanga Bora mi naangalia Taarifa za ITV
 
Yaani ata kifurushi kikiisha naonaga bora nitizame muvi au hamorapaz song kulko hiyo channel
 
Eti huu ulikuwa ni Ushilawadu. Shilawadu, nawaona nawaona...
 
Ukiona channel ni ya bure kwenye ving'amuzi halafu haitazamwi basi ina walakini.
 
Habari wana bodi wenzangu, juzi nilisoma pahara katika mitandao ya kijamii nitakutana na habari ya Rais wa Marekani bwana trump kua kamsifia Mh Rais wetu Dr Magufuri, na habari hiyo ikasemekana kurusha na kituo chetu cha taifa cha television yaani TBC 1.
Siku shangaa sana maana ni jambo la kawaida kwa Viongozi wakubwa kuwasifu Viongozi wa nchi za kiafrika pindi wanapoona kua wanaongoza katika msingi ambayo wanaona inafaa.
Sasa kilicho nifanya mpaka niandike uzi huu nipale leo nilipokutana na taarifa kua taarifa iliyotolewa na shirika letu la utangazaji haikua sahihi mpaka kupelekea wafanyakazi 9 wa kituo hicho pendwa kasimamishwa kazi kwa kutangaza jambo ambalo si sahihi,
Sasa nimebaki na maswali lukuki ambayo majibu yake sina.
1.Taarifa hiyo TBC1 waliitoa wapi..?
2.Kwa wataalamu wa mambo ya media kuna utaratibu gani ambao hutumika kupeleka habari hewani pindi inapofika katika vyombo vya habari.
3.Nani wa kulaumiwa hapo TBC1.
4.Watarejesha vipi imani ya watazamaji wa TBC1 kua habari zinazotolewa pale ni za kweli ni hayo tu.
IMG_20170314_224421_824.jpg
 
Back
Top Bottom