Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Juzi nikiwa nimetulia nyumban sebureni huku nikitaza tv kwa lengo la kujiburudisha, dogo akaweka Citizen tv ya kenya, kwa wale wapenz wa project fame kwenu si tatizo kuitambua, pindi nashangaa mara ikaonyesha kipante cha mh. Waziri mkuu wa nchi hiyo ktk moja ya Hotuba zake za hivi karibuni alizofanya kwao na Mh.Kilonzo msyoka huko ukambani akinena kwamba "KUNA WAZEE WENYE AKILI ZA KITOTO PIA KUNA VIJANA WENYE AKILI NA FIKRA ZA KIZEE PIA"
Ilinichukua muda nikitafakari kwa kina maneno hayo, lakini kwa kupitia comments nyingi humu Jf nimepata lithibisha hilo, KUNA WATU HUMU TENA VIJANA WENZETU WANAMAWAZO YA KIZEE, hii inanipelekea kuamini kuwa hayo wameyarithi toka kwa WAZEE WAO WENYE AKILI ZA KITOTO" Kumeibuka kundi la watu humu pindi wengine tukijadili mwenendo wa kisiasa nchini, tukipeana modalities juu ya nini kifanyike kwa kuinusuru Tanzania yetu toka mikononi mwa mafisadi na kupe wanyonyezi wa watanzania wao ndio kwanza wanashabikia matendo ya kifisadi, wanaleta story na hoja za kipumbavu, wanacoments kijinga na kutoa matusi instead of points.
Kwa mwenendo wao nadhan ni stahili kuwaita hawa kwa jina la VIFISADI VITOTO, ambayo mpaka muda huu vinakaa na kujadili ni jinsi gan maandamano yao ya trh 16 march yatafana. Hawa ni watu wa ajabu sana inapaswa kuwakwepa sana, inapobidi kuwakosa kwa matendo yao, realy Raila Odinga alikuwa sawa kusema kuwa kuna watu wa ajabu, haswa pale vijana wanapokua na akili za kizee zitokanazo na wazee wao kuwa na Akili za kitoto.
Ndugu wanaJF nawasilisha hoja!
Ilinichukua muda nikitafakari kwa kina maneno hayo, lakini kwa kupitia comments nyingi humu Jf nimepata lithibisha hilo, KUNA WATU HUMU TENA VIJANA WENZETU WANAMAWAZO YA KIZEE, hii inanipelekea kuamini kuwa hayo wameyarithi toka kwa WAZEE WAO WENYE AKILI ZA KITOTO" Kumeibuka kundi la watu humu pindi wengine tukijadili mwenendo wa kisiasa nchini, tukipeana modalities juu ya nini kifanyike kwa kuinusuru Tanzania yetu toka mikononi mwa mafisadi na kupe wanyonyezi wa watanzania wao ndio kwanza wanashabikia matendo ya kifisadi, wanaleta story na hoja za kipumbavu, wanacoments kijinga na kutoa matusi instead of points.
Kwa mwenendo wao nadhan ni stahili kuwaita hawa kwa jina la VIFISADI VITOTO, ambayo mpaka muda huu vinakaa na kujadili ni jinsi gan maandamano yao ya trh 16 march yatafana. Hawa ni watu wa ajabu sana inapaswa kuwakwepa sana, inapobidi kuwakosa kwa matendo yao, realy Raila Odinga alikuwa sawa kusema kuwa kuna watu wa ajabu, haswa pale vijana wanapokua na akili za kizee zitokanazo na wazee wao kuwa na Akili za kitoto.
Ndugu wanaJF nawasilisha hoja!