kwa hao wakenya wanamaendeleo gani? mbona tunawaona huku kwetu wakija kuomba ajira? kwa nini wasikae huko kwao kama mambo ni mazuri? umeshawahi kumuona msaudia arabia au mmerekani akija bongo kuomba ajira? poor analysis.
KIJAKAZI WA 2 hivi unaweza kulinganisha umbumbu wa shule za kata na wenzetu KENYA?
TAFADHARI WAOMBE RADHI WAKENYA.
wale wako makini na elimu ,kenya kwenye elimu hakuna cha ODM wala TNA ni umakini wa hali ya juu kwenye elimu
huku angalia matokeo ya kidato cha 5 ndio utajua kuwa JK hii nchi aipendi na wala hana time nayo
ilimradi ridhiwani na salama wamesha soma hana shida
Ni Wakenya wangapi wanaweza kuelewa hata maana ya Government Self Appraisal achilia mbali kuliandika hilo neno? Hawafiki hata Asilimia 5% sasa ina maana gani?
Hakuna tofauti yoyote hapo na CCM yetu, wote Vilaza tu!
Watu Masikini wa Nchi zetu wanataka Matendo na SIO Misamiati Migumu ya Kiingereza, ungekuja hapa ukaniambia Serikali ya Kenya imezalisha Ajira kadhaa, au Serikali ya Kenya imeondoa Njaa kwa Watu wake, au Serikali ya Kenya tangu imeingia Madarakani imepunguza umaskini kwa kiasi kadhaa, kinyume na hapo ni blah blah tu...
Umeona mkuu eeeeh?Magamba mnatokwa povu balaa.
Ni Wakenya wangapi wanaweza kuelewa hata maana ya Government Self Appraisal achilia mbali kuliandika hilo neno? Hawafiki hata Asilimia 5% sasa ina maana gani?
Hakuna tofauti yoyote hapo na CCM yetu, wote Vilaza tu!
Watu Masikini wa Nchi zetu wanataka Matendo na SIO Misamiati Migumu ya Kiingereza, ungekuja hapa ukaniambia Serikali ya Kenya imezalisha Ajira kadhaa, au Serikali ya Kenya imeondoa Njaa kwa Watu wake, au Serikali ya Kenya tangu imeingia Madarakani imepunguza umaskini kwa kiasi kadhaa, kinyume na hapo ni blah blah tu...
hakuna nchi wananchi wake wana shida kama kenya.. wananchi hawana ardhi,ardhi yote uhuru kenyata amejimilikisha. wakenya wana shida sana ndio maana wanakuja tanzania kutafuta vibarua
This is why Tanzania is among the countries with people who posesses low IQ,nani alikuambia ya kwamba Kenya hakuna mashamba,Tzns have this stereotype. Huwa mnapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa kuhusu hili na viongozi wenu ndiyo liweje? ndiyo msiwaulize wanapowaibia ama? Tembelea Kenya wewe! Kuna wakenya laki sita US idadi kubwa kuliko walioko tz sababu ya ajira so its coz they are daring and nothing else.
pumba.Magamba mnatokwa povu balaa.