minda
JF-Expert Member
- Oct 2, 2009
- 1,068
- 65
wakuu, hii ya chagua mtu badala ya chama umekaaje?
mwanzoni ilianza kama jambo lisilo serious sana, lakini mpaka sasa tunaambiwa (mwananchi) hata viongozi wa dini wanasisitiza sana kwa mtu kuchaguliwa kwa kigezo cha ubora na si chama(malasusa).
rioba alipata kusema kwamba ccm ikiweka hata ng'ombe atachaguliwa tu; lakini sasa inavyoonekana upepo umeanza kugeuza mwelekeo.
hivi maana yake inaweza kuwa nini wakuu?
mwanzoni ilianza kama jambo lisilo serious sana, lakini mpaka sasa tunaambiwa (mwananchi) hata viongozi wa dini wanasisitiza sana kwa mtu kuchaguliwa kwa kigezo cha ubora na si chama(malasusa).
rioba alipata kusema kwamba ccm ikiweka hata ng'ombe atachaguliwa tu; lakini sasa inavyoonekana upepo umeanza kugeuza mwelekeo.
hivi maana yake inaweza kuwa nini wakuu?