Lion's Claws
Member
- Apr 3, 2012
- 30
- 14
Bajeti ya mwaka 2012/2013 imepitishwa kwa mbunge mmojammoja kusema ndiyo au hapana je hii imewatendea haki wabunge ambao hawakuwa tayari kupitisha lakini kwa kuwa anatamka live ataogopa kusema hapana. Naomba tujadili kidogo.