Hii ya bajeti ya 2012/2013 imekaaje?

Lion's Claws

Member
Apr 3, 2012
30
14
Bajeti ya mwaka 2012/2013 imepitishwa kwa mbunge mmojammoja kusema ndiyo au hapana je hii imewatendea haki wabunge ambao hawakuwa tayari kupitisha lakini kwa kuwa anatamka live ataogopa kusema hapana. Naomba tujadili kidogo.
 
Huu ndiyo mfumo bora wa kupiga kura bungeni.
Voting records za wanasiasa, hasa legislators ni kipimo kizuri sana!!
Mngewauliza wabunge wenu wa CDM voting records zao walipokuwa CCM, je walipitisha miswaada kama ya kuuza viwanda vyetu,miswaada ya madini, banking, pharmaceutical regulations,local governments etc...
Kama walipitisha, kwanini?
 
Huu ndiyo mfumo bora wa kupiga kura bungeni.
Voting records za wanasiasa, hasa legislators ni kipimo kizuri sana!!
Mngewauliza wabunge wenu wa CDM voting records zao walipokuwa CCM, je walipitisha miswaada kama ya kuuza viwanda vyetu,miswaada ya madini, banking, pharmaceutical regulations,local governments etc...
Kama walipitisha, kwanini?

wabunge wako huru kusema ndiyo au hapana hakukuwa na ushawishi wowote utarstibu ulikuwa mzuri na umetuwezesha kujua wanafiki
 
Nimeipitia bajeti yote ya mwaka 2012/2013 ile ya Serikali ya JMTz na ile ya Kambi rasmi ya Upinzani (Chadema). Kama utaziangalia zote kuna makosa ya kinadharia na usahaulifu mkubwa wa mambo muhimu.
Nimeipenda sana ile ya Serikali JMTz kwani imekidhi karibu vigezo vyote kwa kuonyesha wazi vipaumbele vake na mchnganuo nw mwelekeo wake.

Kosa nililolibaini ni kuwa ni imetenga pesa nyingi sana kwa matumizi ya kawaifa (70%0 na kuweka kidogo pesa za maendeleo (30%).

Nikizungumzia pesa za maendeleo zimelenga sana KUKUZA uchumi na kuelekeza pesa kidogo sana katika KUONDOA umasikini.

Tukumbuke kuwa haya yote mawili yanatakiwa yaende sambamba yaani Kukuza uchumi na kuondoa umasikini.

Nafikiri Seikali ingesikiliza ushauri wa kupunguza pesa za Anasa na kuzielekeza kwenye maendeleo hususan kuondoa umasikini kwa wananchi wake.
 
Nimeipitia bajeti yote ya mwaka 2012/2013 ile ya Serikali ya JMTz na ile ya Kambi rasmi ya Upinzani (Chadema). Kama utaziangalia zote kuna makosa ya kinadharia na usahaulifu mkubwa wa mambo muhimu.
Nimeipenda sana ile ya Serikali JMTz kwani imekidhi karibu vigezo vyote kwa kuonyesha wazi vipaumbele vake na mchnganuo nw mwelekeo wake.

Kosa nililolibaini ni kuwa ni imetenga pesa nyingi sana kwa matumizi ya kawaifa (70%0 na kuweka kidogo pesa za maendeleo (30%).

Nikizungumzia pesa za maendeleo zimelenga sana KUKUZA uchumi na kuelekeza pesa kidogo sana katika KUONDOA umasikini.

Tukumbuke kuwa haya yote mawili yanatakiwa yaende sambamba yaani Kukuza uchumi na kuondoa umasikini.

Nafikiri Seikali ingesikiliza ushauri wa kupunguza pesa za Anasa na kuzielekeza kwenye maendeleo hususan kuondoa umasikini kwa wananchi wake.

Umetumwa wewe si bure
 
Back
Top Bottom