Inafika pahala hata kuwafahamisha kwa ndugu zako inachanganya, nimeamua ndugu zangu waitwe Kiswahili baba mdogo, mjomba, ma unle wanakuwa hao ma dereva wa shuleWatoto wetu wakitoka huko kwenye shule za INGILISHI MIDIAMU ndio wanakuja na hayo, maana hata dreva wa gari la shule anaitwa anko, wale wanaowahudumia pale shuleni nao wanaitwa anko/anti
Acha uongotatizo anko inaficha mengi anko wengine ndo baba halisi ila unafichwa ww Baba mlezi
Tulifahamushwa mdogo wake baba ni baba mdogo na mdogo wake mama ni mama mdogo. Rafiki wa mama ni mama Asha, mama Clara sasa siku hizi mdogo wako anaitwa uncle na mlinzi wa kwenye gate anaitwa uncle kwakweli ni mchanganyikoAmina Chifupa (RIP) na Masoud, enzi hizo kipindi cha watoto pale Kitegauchumi, Amina alijiita "Mam Mdogo" na Masoud akajiita "Ba Mdogo" baadae nadhani walielewa athari za ile style, wakabadili na kuanza kujiita "aunt Amina" na "Uncle Masoud"
angali comment #7 hapo utajua nachokwambiaAcha uongo
Min dad, min mum...Kiingereza cha baba mkubwa/mdogo na mama mkubwa/mdogo ni kipi ili watoto wetu waendeleze uafrica ndani English tafadhali!!! Manaake kutafsiri vitu vingine moja kwa moja inagoma
Baba mkubwa ni big father baba mdogo ni small father na kwa mama ni ivoivo big and small motherKiingereza cha baba mkubwa/mdogo na mama mkubwa/mdogo ni kipi ili watoto wetu waendeleze uafrica ndani English tafadhali!!! Manaake kutafsiri vitu vingine moja kwa moja inagoma
Min dad, min mum...
Min dad, min mum...
mbavu zangu jamaniBaba mkubwa ni big father baba mdogo ni small father na kwa mama ni ivoivo big and small mother
Mimi nimeshakokotoa Min dad &minimum.... Malizia basi hapo Kwenye baba mkubwa na mamadogo .Makubwa