Hii tabia nimeacha

Dah itakua soo sana nipe alternative mkuu acha utani
umeona hizo eh? za pichu sizioni but zipo , so nawe weka tu

cc:[MENTION]Lusungo[/MENTION]
 

Attachments

  • IMG_3830.JPG
    561.5 KB · Views: 241
  • IMG_3833.JPG
    529.2 KB · Views: 211
  • IMG_3828.JPG
    659.1 KB · Views: 199

Na wacwac na nat zko za kichwa???????????
 
Anzisha room ya makumbusho nyumbani kwako uziweke.
 
Panty fetishism-is a sexual fetish relating to female underwear.it is a mental disorder. You need to seek assistance from a psychologist.
 
Kweli Mungu ni mwema na mwingi wa huruma pamoja na kuzini na wanawake wote hao hujafa na UKIMWI? nampa pole mkeo au mnafanana historia siyo?
 
Panty fetishism-is a sexual fetish relating to female underwear.it is a mental disorder. You need to seek assistance from a psychologist.

Dah hapo nimekweelewa, we ndo umeshauri wengine wanalaumu, watanzania bwana wanajulikana hata mke wake akiacha kupata mimba analaumu serikali
 
Watafute tu uwaite kwa get together then unaleta belo la mitumba yao kila mmoja achukue chake!
 
Imani za kishirikina, mimi mwenzio huwaga sinaaa.. by 20%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…