Hii tabia kitaalamu tunaiitaje?

Chibike

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
4,910
Reaction score
7,562
Nacheka kwa uchungu

Embu wanaume tuongee hapa, una kitu umekiona umekitaman na unaona kabisa kitakufaa ama kitaifaa familia yako, na zaidi una shida nacho sana na pengine unamudu garama kabisa kukipata

Ila unamshirikisha mkeo/mwanamke wako /songea tuishi wote, anakataa, na wewe unakubali unaachana nacho😂 hata kurudi kwa muuzaji unaona aibu. 🚮

Hivi tuko timamu kweli? Hii tunaiitaje ? Poleni sana Wana wapambanaji ambao mlishakosaga 10% biashara ilvyoshirikishwa "mke" 😂
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…