Hii tabia dada zetu mmeitoa wapi siku hizi?

Hii tabia dada zetu mmeitoa wapi siku hizi?

Kilichopelekea niandike kichwa hicho cha habari ni tabia Iliyojitokeza kwa shemeji yenu Mrs. Gentamycine ambapo amekuwa na katabia kapya ambako sikajui nani kamfundisha ambapo kila anapokuwa tu safarini kikazi zaidi ya wiki moja au wiki mbili akirudi tu lazima anipime Damu.

Kujua kama eti nina maambukizi ya VVU/UKIMWI. Hali hii sasa naona inaelekea kunishinda kwani matobo ya sindano katika mikono yangu na mikononi sasa yamezidi na kila mara nasikia maumivu hadi imefika muda sasa naomba Dua kwa Mungu asiwe anapata safari za kikazi kwani najua akisafiri tu akirudi mziki ni ule ule wa kuchanjwa kunipima HIV/UKIMWI

Naombeni msaada wenu jamani nifanyeje au nimfanyeje huyu shemeji yenu.

Nawasilisha

sasa hao dada zako unawazungumzia wako wapi kwenye uzi wako.heading ungeandika mke wangu hii tabia umeiokota wapi
 
naomba Dua kwa Mungu asiwe anapata safari za kikazi kwani najua akisafiri tu akirudi mziki ni ule ule wa kuchanjwa kunipima HIV/UKIMWI

Naombeni msaada wenu jamani nifanyeje au nimfanyeje huyu shemeji yenu.
Omba dua apate safari za chapu chapu kama tatu hivi halafu uwe unamlia timing! Akirudi tu, unamuwahi yeye kwamba twende ukapime VVU...
 
Back
Top Bottom