Hii taarifa ya ndalichako ni kwa wanaosoma degree au diploma au inawahusu wore?

Ni mpunga tu hamna sababu nyingine maana mwaka jana wanafunzi walienya kweli kupata hizo hela kama sio wengine kupewa nusu au kukosa kabisaa
 
ha ha ha h pesaaaa wacha wabane matumiz bwana tutaona tu mwisho wake !!!
 
Back
Top Bottom