MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,224
- 22,305
Wakuu nimesoma mitandaoni kuhusu show ya Fally Ipupa huko kwao Kinshasa nikabaki kinywa wazi. Huyu jamaa yuko serious. Hakuna longolongo. Yaani pamoja na kufanya promo kwa mbinu zilizozoeleka lakini kijana akaamua kukodi ndege kadhaa kwa ajili ya kutangaza show mjini Kinshasa. Tazama picha jinsi walivyoripoti Congo Bleu.
Na leo tarehe 29/10/2022 kufika saa 9 alasiri tayari uwanja ulikuwa umejaa umati ukisubiri show ianze saa 1 jioni. Cha kushangaza pia kaweka kapeti pale kwenye Pitch ili kuzuia uharibifu. Kwenye Insta ya Dacota wa Clouds kuna video katuonyesha.
Hili ni somo kwa wadau wote wa muziki nchini. Nadhani Dacota akirudi atasimulia vingi.
Na leo tarehe 29/10/2022 kufika saa 9 alasiri tayari uwanja ulikuwa umejaa umati ukisubiri show ianze saa 1 jioni. Cha kushangaza pia kaweka kapeti pale kwenye Pitch ili kuzuia uharibifu. Kwenye Insta ya Dacota wa Clouds kuna video katuonyesha.
Hili ni somo kwa wadau wote wa muziki nchini. Nadhani Dacota akirudi atasimulia vingi.