FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Jamani nimechoka kuumizwa pua na majirani zangu na huuu ukata
Kila siku vitunguu swaumu kunukia ,pilau ,Biliani sijui Nyama tu
Napitisha mchango wa bajeti ya nyama chonde chonde mchango angalau December yote nipate meat and Fish
Nitawakumbuka katika ufalme wangu marafiki Mpesa,Tigo Pesa na Airtel Money vinakaribishwa
Kutoa ni moyo( Wengine wanajichotea vijisenti tu vya ESCROW)
Vigezo na masharti kuzingatiwa
Ndimu mutoto muzuri FL1:confused2:
Kila siku vitunguu swaumu kunukia ,pilau ,Biliani sijui Nyama tu
Napitisha mchango wa bajeti ya nyama chonde chonde mchango angalau December yote nipate meat and Fish
Nitawakumbuka katika ufalme wangu marafiki Mpesa,Tigo Pesa na Airtel Money vinakaribishwa
Kutoa ni moyo( Wengine wanajichotea vijisenti tu vya ESCROW)
Vigezo na masharti kuzingatiwa
Ndimu mutoto muzuri FL1:confused2: