Hii sasa Sifa na leo tena Nyama?

Hii sasa Sifa na leo tena Nyama?

FirstLady1

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2009
Posts
16,789
Reaction score
5,409
Jamani nimechoka kuumizwa pua na majirani zangu na huuu ukata

Kila siku vitunguu swaumu kunukia ,pilau ,Biliani sijui Nyama tu

Napitisha mchango wa bajeti ya nyama chonde chonde mchango angalau December yote nipate meat and Fish

Nitawakumbuka katika ufalme wangu marafiki Mpesa,Tigo Pesa na Airtel Money vinakaribishwa

Kutoa ni moyo( Wengine wanajichotea vijisenti tu vya ESCROW)

Vigezo na masharti kuzingatiwa

Ndimu mutoto muzuri FL1:confused2:
 
Kwani Prezidaa ndo bado anajiuguza tezi dume? Pole kwa kuuguza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom