Hii RUPIA Wakuu ina thamani gani? Nimeokota

kofia ya plastiki

JF-Expert Member
Jun 9, 2019
416
404
Wakuu msaada kwa wale wanaofahamu pesa za wakat wa ukoloni wapi naweza badilisha?
IMG_20191103_195317_946.jpeg
Screenshot_20191103-193720.jpeg
 
Hizo Brother Hata Uwe Na Fuso Hazina Mashiko Yoyote
Habari Kubwa Kwasasa Ni Madini
 
Dah! umeshakuwa tajiri kirahisi kabisa! Ukipata mteja mzuri, unaweza ukapata vimilioni vya kutosha. Utaweza kununua V8 kali, kajumba fulani ka ghorofa, na chenji ya kutosha tu inabakia. Kila la heri mkuu.
 
Dah! umeshakuwa tajiri kirahisi kabisa! Ukipata mteja mzuri, unaweza ukapata vimilioni vya kutosha. Utaweza kununua V8 kali, kajumba fulani ka ghorofa, na chenji ya kutosha tu inabakia. Kila la heri mkuu.
Wapi naweza exchange?
 
Acha utani mkuu
Hizo nimeokota sana pori la Selous miaka kama 20 imepita. Mpaka leo zipo nyingi sema tu ulinzi umeimarika siku hizi. Kuna mahali kuna sanduku wajerumani wamelifunga juu ya mti wa mkwaju nahisi zipo pesa za kutosha. Twende tukalidondoshe lile sanduku. Hizo pesa kuna dua ya kijerumani ukizisomea na kisha kuziabudu zinakuja pesa Kama zote za kibongo
 
Hizo nimeokota sana pori la Selous miaka kama 20 imepita. Mpaka leo zipo nyingi sema tu ulinzi umeimarika siku hizi. Kuna mahali kuna sanduku wajerumani wamelifunga juu ya mti wa mkwaju nahisi zipo pesa za kutosha. Twende tukalidondoshe lile sanduku. Hizo pesa kuna dua ya kijerumani ukizisomea na kisha kuziabudu zinakuja pesa Kama zote za kibongo
aroo!
Sasa hiyo dua ndugu unaijua? Twende tukajaribu zali mazee.
 
aroo!
Sasa hiyo dua ndugu unaijua? Twende tukajaribu zali mazee.
Kuna dogo baba yake alikuwa tajiri kwa kuabudu rupia ila sasa kavuta.
Dogo tatizo wakati mdingi wake anaisujudia rupia alikuwa anazubaa tu anasubiria mgao. Maana ilikuwa akizivuna tu nyumba mzima mnapigwa shopping. Hebu tumdadisi labda dua iliandikwa kkwenye makabrasha
 
Back
Top Bottom