Hii pozi imekaaje jamani?

utafiti fanyautafiti isije ikawa ni kaugonjwa kama kale ka yule anayeweka miguu juu ya meza hata akiwa ofisini
 
Last edited by a moderator:
Aligeuka kushoto kulia hamna mtu kitu mdomoni
 
Hivi kasilimu lini?hiyo kama rozali au macho yangu yanamatege?.
 
Mkuu huyo kijana mashalallha allahu barik kaumbika ama kweli mungu huwa hamtupi mja wake kwa hivo alivopendiza kwa kujiremba na hicho kizibao na huwo ushanga na kal kit naona si ya kawaida ni vya gaharama na hapo naona madada zetu namna wanavo pigana vikumbo kila mmoja huwa anseman nipishe mimi ama kweli wamenena usione vyaelia kumbe vimeundwa sadakta kipenzi cha mungu
 
mbona mnapenda sana kufutilia mambo ambayo hayawahusu??????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…