ungeonyesha na wala rushwa nao walivyokuwa arrested walikamatwa vipi ingekuwa balanced comparison, hapo umeonyesha watuhumiwa wa rushwa wakiwa tayari mahakamani tu, na watuhumiwa wengine walipokuwa wanakamatwa, misuli inatumika kwa mtumia misuli, machinga kumkamata lazma arushe mawe sasa sijui Liyumba au huyo mbunge walivyokamatwa walitupa mawe au ngumi, ni maoni yangu tu