Kosa tulilolifanya wana EAST AFRICA ni kuomba Uhuru mapema. Tungeishi tu kama hatujui kuwa tunatawaliwa ingefika wakati tungekuwa wamoja bila hata ya ubaguzi.
Pamoja na wingi wa rasilimali East Africa bado tunasaidiwa mpaka na nchi zenye rasilimali chache na hali ya jangwa kama Mexico