Hii ni ya Kweli?

Filosofia ya Rorya

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2021
Posts
3,211
Reaction score
3,614
Sera ya Nyerere ya kutuunganisha na Zanzibar ambayo raisi wa Zanzibar anakwenda China kuwauzia ardhi ya Tanganyika waliopewa kutunza ng'ombe kutoka Tanganyika kabla hawajawasafirisha kwenda Zanzibar kule Bagamoyo leo rais wa Zanzibar anakwenda kuingia ubia na nchi ya kigeni ardhi ya nchi nyingine ya Tanganyika..

Butiku haioni jinsi Nyerere ametuingiza watumwa wa wazanzibqri na Butiku alikuepo ktk sera hizo leo analalamika nini! Kosa waliofanya haioni?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Akija Rais Mkatoliki husikii malalamiko haya ....
Wakina Lissu walimlalamikia sana Mkapa kwenye madini.
Jenerali ulimwengu alimlalamikia sana mkapa.
Mchungaji Christopher Mtikila alianza kuwa maarufu kwa ukosoaji wake enzi za Mkapa.
Kambona alimpinga Nyerere.
 
Samia mzanzibar na mwinyi mzanzibar yaani wazanzibar wanagawana nchi waacheni si mliyataka wenyewe
 
Muungano wa hovyo sana huu...upo kuipendelea Zanzibar
 
Heshima yako jf inazidi kushuka.
Heshima yake ipo na itaendelea kuwepo,ongea kwa upande wako wewe,unataka kila mtu aongee kinachokufurahisha wewe tu? nyie si ndio hua mnalilia freedom of speech? sasa inakuwaje unataka kuanza kuwapangia watu chakuandika?
 
Akija Rais Mkatoliki husikii malalamiko haya ....
Kobazi muwepesi sana kukimbilia kwenye mwamvuli wa dini kukwepa miale ya ukosoaji

Tizameni hao hao viongozi wakristo unao wa rejea hawajawahi tetewa kupitia dini walipokosolewa (Magufuli ni mfano wa hivi karibuni)
 
Lini marais wakristo hawajawahi kukosolewa utusibitishie ? Unazidi kujizalilisha kwa kuendelea kuleta hoja za udini kila siku
Ututhibitishie
Kujidhalilisha,

Sasa wewe hata lugha yako tu kuiandika kwa ufasaha hujui!
huoni kua wewe ndiye unayejidhalilisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…