Hii ni Tabia ya aina Gani

Hii ni Tabia ya aina Gani

Ndo nimesoma uzi..
Kwahyo mkuu mimi najilaza barabarani then huyo.bushmomy ndo ananiuliza mimi lengo langu ni lipi..

Mbaga jiheshumu we jamaa mi silewi..
Na kwanini nikajilaze pembezoni mwa mtaro ambako kuna mwanga hafifu
Unajilaza ukishalewa na kuzidiwa na utamu wa kitimoto šŸ”„
 
Kuna mtindo umezuka siku hizi wa vijana na wanaume usiku wakishakunywa pombe na kulewa hawaendi nyumbani bali wanajilaza Kwa kulalia tumbo pembezoni mwa barabara na Mahali ambapo hamna mwanga mkali wa taa.

Bado lengo kuu la watu wa aina hii haijajulikana
DIVISHENI FOO
 
Back
Top Bottom