Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 10,416
- 18,445
Kuna mtindo umezuka siku hizi wa vijana na wanaume usiku wakishakunywa pombe na kulewa hawaendi nyumbani bali wanajilaza Kwa kulalia tumbo pembezoni mwa barabara na Mahali ambapo hamna mwanga mkali wa taa.
Bado lengo kuu la watu wa aina hii haijajulikana
Bado lengo kuu la watu wa aina hii haijajulikana