Ilikuwa inaitwa Sugaray kabla ya mmiliki wa Kisuma kuwekeza
Nenda mkuu
Alioandika yg ndio anajiuza
Mkuu Sipo Dar ndio maana nikasema nimepamiss Temeke
48, tatizo wabongo hakuna akili Uzi umeelewa ten a maneno men gi
Mwanairinga ni kweli. Nilikuwa naenda mbagala leo asubuhi kupitia mbozi road nikapita hapo nipate mtori. Saa mbili asubuhi watu bado wanakesha mchana. Kwa kweli niliogopa sana aisee. Sio akina mama, akina Dada. Dah. Ila kuna sura niliziona kama sura za kazi. Wakishapiga usiku wanakuja pale kula bata.
Wewe kicha chako kigumu xana!
Sokota hamna bar inaitwa sugur ray,sugar ray ni lodge.
Bar hiyo inaitwa kisumu.
Hugo wa kwanza noma
Makahaba watawatangulia kuingia kwenye ufalme wa mbinguni.
source- Bible
wanatambuliwa na akaaye juu ya kiti cha enzi yule ambaye mleta mada anadai kuwa ana hofu yake.
Namba ni hizo hizo kila siku.
Badilisha namba tuwekee mpya.
Umalaya Ni Biashara Kongwe Duniani, Hata Vitabu Vitakatifu Vinahitaja Biashara Hii Inayolipa Kadiri Utumikavyo. Biashara Hii Ipo
legalized Kwa Nchi Zilizoendele.. Nenda Amsterdam, Brussells na Miji Kama The Hague Serikali Zinakusanya Kodi Na ulinzi Umewekwa
Kufanya Biashara bila Bugudha. Hii Biashara Ni Kuiwekea Mazingira Mazuri,Iwe Biashara halali Ili Serikali yetu Ikusanye Kodi Na Maisha
Yaendelee. Hii Ni Fursa Kama fursa Nyingine Kwa Maana awa Wajasiliamali Pesa Wanapata Nyingi tu Na Kodi ya Kaisali Hawalipi.
Mimi cifanyi hiyo kz wewe