mwanairinga
Senior Member
- Dec 21, 2015
- 179
- 12
- Thread starter
- #121
Nielekeze niende nami nikajionee
Wewe panda gali yeyote inayowlekea tandika ulizia Sokota!
Nielekeze niende nami nikajionee
Sokota hamna bar inaitwa sugur ray,sugar ray ni lodge.
Bar hiyo inaitwa kisumu.
inaitwa kisuma boss
Sokota hamna bar inaitwa sugur ray,sugar ray ni lodge.
Bar hiyo inaitwa kisumu.
Sokota hamna bar inaitwa sugur ray,sugar ray ni lodge.
Bar hiyo inaitwa kisumu.
Nitauzaje mkuu mimi ninashuguli zangu bana
Humu watu wanajielewa,hiyo biashara yako kajaribu kuitangaza huko Fesibuku utawashika Watoto wenzako
Ahsante kwa namba,ntaanza kumgonga mmoja mmoja na mrejesho ntaleta