Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,825
kwanza kabisa unajua kuwa huyo binti anaishi kwenye nyumba ya dada yake?
Pia unajua kuwa anachungwa na kubanwa ili awe katika mstari ulioonyooka?
Unadhani atatokaje hovyo hovyo kama gesti?
Badala ya kumlaumu kwa nini msitafute solution ya pamoja?
.....
Huyu Jamaa Kahaso Sana Kwa Hii K,Na Ndio Maana Anataka Waonane Ili Wazungumze!
Ina Maana Hakuna Siku Ambayo Anapata Mda Wa Kuonana Na Jamaa?