Hii ni sawa?.

Hii ni sawa?.

BIF

Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
47
Reaction score
10
Habari wana JF,nina kerwa sana na jambo hili kwa muda mrefu nimelileta kwenu ili nipate mawazo yenu,Mimi ni kijana nina mchumba ila tabia za mchumba wangu zinanitia mashaka mpaka nimeanza kuhisi kushindwa kuwa katika huu uchumba.
Habari iko hivi,
Mchumba wangu anakaa kwa dada yake ambae ameolewa maeneo ya jirani na ninapokaa pia ni wacha mungu sana kila jumapili ni lazima waende kanisani.Mazingira anayoishi mchumba wangu kidogo yanabana hivyo swala la kuonana mimi na yeye hata kwa mazungumzo ni shida kidogo hivyo kuonana inakuwa ni kwa muda mfupi anapopata nafasi.Kutoka na hali ya kubanwa mimi nikamshauri kuwa awe anatafuta siku ambayo anaona yuko free anijuze alafu tutoke mbali na maeneo ya kwao na yeye akasema sawa,kuna siku aliniambia kesho atakua poa ivyo tutatoka nami nikamwambia sawa ilipofika iyo siku ya kutoka nikamtafuta kwenye simu alichonijibu ni kuwa ametoka amepata simu kutoka kwa dada yake mkubwa hivyo yupo huko mimi nikasema sawa ila nikamuuliza kwanini hukunipa taarifa kuwa umepatwa na dharula akasema amejisahau ila nimsamehe nikamsamehe,siku nyingine tena akasema siku flani ntakuwa free hivyo tutatoka, ilipofika siku yenyewe mambo yakawa yaleyale ameeenda tena kwa dada yake mkubwa tena bila kunijulisha mimi nikamsamehe tena mara nyingine.
Baada ya muda kidogo mimi nikaitwa kwenye usaili na tume ya Ajira Morogoro nilipokua huko akaniambia ukirudi tutatoka mana shemeji anaondoka hivyo itakuwa rahisi yeye kutoka,nilipo rudi akaniambia shemeji hajaondoka hivyo hawezi kutoka, ni kweli shemeji yake hakuondoka ilo likawa limeeleweka, sasa juzi akaniambia kesho ntakuwa na muda mimi nikamwambia sawa ilipofika jioni akaanza kusema kuwa simu yake haina charg hivyo ana wasiwasi kuwa itazima na hana chaja kwa ajili ya kuichagi hivyo atashindwa wasiliana na mimi atakapo kuwa anatoka kwao mimi nikamwambia wewe ukiwa unatoka kwenu nijulishe hata kwa kutumia simu ya mtu mwingine mimi ntakuelelkeza nilipo na utanikuta hapo sasa ajabu ni kwamba simu yake ilipozima kama mwenyewe alivyodao ni chagi haina mpaka nanivyoandika huu uzi simu yake haipatikani na hakuna ujumbe wowote wa kunijulisha kuwa hatokuja.
Jamani labda mimi sijui, kweli hii ni sawa? watu mnapeana miadi halafu mwenzako hatokei na wala hatoi taarifa kuwa hatokuja,mimi napatwa na kichefuchefu na hii tabia yake mana anaukologa ubongo wangu nashindwa kuelewa ana mawazo gani kichwani kwake.
Nimefikia hatua ya kufikiria kuachana na huyu mtu mana sidhani kama ntaishi kwa raha siku tutakapo kuwa mke/mme mana sasa hivi tu ananipasua kichwa huko mbele je itakuwaje,nimejaribu kumweleza umuhimu wa ahadi lakini naona anielewi sasa najiuliza hii ni tabia ya mtu au ni kweli anabanwa na kama anabanwa kwanini hatoi taarifa kuwa hatuweza kuja.
Ndugu naombeni mawazo yenu nifanyeje kwenye hili mana nilipanga awe mke wangu,nampenda sana huyu msichana ila tatizo ndo ilo sijui nifanyeje wakuu.
 
duh!!! ila mwana hii tabia wanayo sana mademu...yaani mtakubaliana basi atajizungusha wee mpaka upige simu mara mia ishirini kidogo. kwangu mie naona demu amenidharau na kuona mie muda wangu sio wa maana. toal lack of respect. piga chini huyo bwana. tabia za kibinafsi sana hizo eti kisa yeye ana K. nyambafu!!!!
 
Da,,hizo Sitaki nataka za wasichana ndizo zimenifanya mpaka leo nawashangaa!
Maana ukitafakari kwa nini wako jinsi walivyo utaumiza akili yako bure!
Sitisha mawasiliano kwa muda uone yeye anakujali kiasi gani,,mwanamke kama anakupenda kwa dhati na sio kukufanya jamvi la kupumzikia akipigwa chini na ampendae kwa dhati,,huwa ana muda mwingi na hakuna cha kumzuia hata geti kali ataruka sarakasi apite akufuate!
 
si uende kwao ,kwanini unataka kummega mtoto wa watu kimtaa mtaaa?
simu ni mbovu... unakereka hakuna mawasilioano sio?nunua ingine acha kupenda vitu vya juu juu
.kubwa zaidi kama unamtaka mtoe kwa dada yake mmpeleke kwako ...lazima aheshimu watu walomuweka mjini,acha kupenda dezo kijana

starehe zinalipiwa eeeh!
 
Kiukweli wanakera.lkni nakushauri mtolee posa kamakweli unampenda.kamaulitaka k tu mpige chini hafu we chapa lapa beboooooooooooooooooooo.
 
Bwana mdogo, na wengine mnaojifanya mna mapenzi ya dhati mara oooh eti ya kizungu, iko hivi: KAMWE USIMUONYESHE MKEO/MPENZI WAKO KUWA UNAMPENDA KUPITA KIASI. Wanawake ni viumbe dhaifu sana, wakigundua kuwa wewe umefariki (kama sio kufa) kupita kiasi utajuta, maana anajua huna alternative na hivyo lolote akikufanyia wewe utakubali tu. Hata wewe hapo kwa kukiri kwako kuwa unampenda sana inaonyesha huyo bidada anaweza asipatikane hata mwezi mzima lakini siku akiibuka na kukuzuga kidogo mara "oooh, niliibiwa simu njiani wakati nakuja kwako na hivyo nikapoteza namba yako", wewe hutaacha kuamini na kumsamehe. Ndio maana mazuzu wengine wako tayari kufukuza hata wazazi wao eti kisa mwanamke (ambaye kwa upumbavu wao wanawageuza na kuwaita Mama, sasa sijui mama mzazi ndio aitwe Bibi??!!!) hataki kukaa na wakwe zake. Utasikia, Baba/Mama, jiandae wiki ijayo urudi kijijini si unajua msimu wa mvua umewadia? Ukaandae mashamba! Pambaf! Utadhani wazazi ndio manamba/wafungwa wa kwenda kuandaa mashamba na wajinga hawa wakidai nafasi eti wafurahie ndoa/uhusiano wao. CONCLUSION: Piga chini huyo, kwa akili yako tangu apotee juzi hajapata namna ya kuwasiliana na wewe tu? TAFAKARI KISHA CHUKUA HATUA!
 
ukweli ni huu, ukiona msichana anafanya vitu kama hivi kuna majibu mawili muhimu sana,
1.hakupendi, unajipendekeza ndiyo maana hana hata muda wa kusema samahani sitakuwepo
2.Jiulize mko wangapi? Me nilishapewa ahadi kama hii moja tu, nilimpotezea forever
3.unawaza kuoa lakini yeye hiyo habari haipo kichwani,

ushauri usipende sana kupenda itakuja kukucost siku moja mtu wangu, penda sana siku mkitoka kwa padre au askofu yeah akishasema kilichounganishwa na Mungu binadamu hatakitenganisha.
 
Habari wana JF,nina kerwa sana na jambo hili kwa muda mrefu nimelileta kwenu ili nipate mawazo yenu,Mimi ni kijana nina mchumba ila tabia za mchumba wangu zinanitia mashaka mpaka nimeanza kuhisi kushindwa kuwa katika huu uchumba.
Habari iko hivi,
Mchumba wangu anakaa kwa dada yake ambae ameolewa maeneo ya jirani na ninapokaa pia ni wacha mungu sana kila jumapili ni lazima waende kanisani.Mazingira anayoishi mchumba wangu kidogo yanabana hivyo swala la kuonana mimi na yeye hata kwa mazungumzo ni shida kidogo hivyo kuonana inakuwa ni kwa muda mfupi anapopata nafasi.Kutoka na hali ya kubanwa mimi nikamshauri kuwa awe anatafuta siku ambayo anaona yuko free anijuze alafu tutoke mbali na maeneo ya kwao na yeye akasema sawa,kuna siku aliniambia kesho atakua poa ivyo tutatoka nami nikamwambia sawa ilipofika iyo siku ya kutoka nikamtafuta kwenye simu alichonijibu ni kuwa ametoka amepata simu kutoka kwa dada yake mkubwa hivyo yupo huko mimi nikasema sawa ila nikamuuliza kwanini hukunipa taarifa kuwa umepatwa na dharula akasema amejisahau ila nimsamehe nikamsamehe,siku nyingine tena akasema siku flani ntakuwa free hivyo tutatoka, ilipofika siku yenyewe mambo yakawa yaleyale ameeenda tena kwa dada yake mkubwa tena bila kunijulisha mimi nikamsamehe tena mara nyingine.
Baada ya muda kidogo mimi nikaitwa kwenye usaili na tume ya Ajira Morogoro nilipokua huko akaniambia ukirudi tutatoka mana shemeji anaondoka hivyo itakuwa rahisi yeye kutoka,nilipo rudi akaniambia shemeji hajaondoka hivyo hawezi kutoka, ni kweli shemeji yake hakuondoka ilo likawa limeeleweka, sasa juzi akaniambia kesho ntakuwa na muda mimi nikamwambia sawa ilipofika jioni akaanza kusema kuwa simu yake haina charg hivyo ana wasiwasi kuwa itazima na hana chaja kwa ajili ya kuichagi hivyo atashindwa wasiliana na mimi atakapo kuwa anatoka kwao mimi nikamwambia wewe ukiwa unatoka kwenu nijulishe hata kwa kutumia simu ya mtu mwingine mimi ntakuelelkeza nilipo na utanikuta hapo sasa ajabu ni kwamba simu yake ilipozima kama mwenyewe alivyodao ni chagi haina mpaka nanivyoandika huu uzi simu yake haipatikani na hakuna ujumbe wowote wa kunijulisha kuwa hatokuja.
Jamani labda mimi sijui, kweli hii ni sawa? watu mnapeana miadi halafu mwenzako hatokei na wala hatoi taarifa kuwa hatokuja,mimi napatwa na kichefuchefu na hii tabia yake mana anaukologa ubongo wangu nashindwa kuelewa ana mawazo gani kichwani kwake.
Nimefikia hatua ya kufikiria kuachana na huyu mtu mana sidhani kama ntaishi kwa raha siku tutakapo kuwa mke/mme mana sasa hivi tu ananipasua kichwa huko mbele je itakuwaje,nimejaribu kumweleza umuhimu wa ahadi lakini naona anielewi sasa najiuliza hii ni tabia ya mtu au ni kweli anabanwa na kama anabanwa kwanini hatoi taarifa kuwa hatuweza kuja.
Ndugu naombeni mawazo yenu nifanyeje kwenye hili mana nilipanga awe mke wangu,nampenda sana huyu msichana ila tatizo ndo ilo sijui nifanyeje wakuu.

ukweli ni huu, ukiona msichana anafanya vitu kama hivi kuna majibu mawili muhimu sana,
1.hakupendi, unajipendekeza ndiyo maana hana hata muda wa kusema samahani sitakuwepo
2.Jiulize mko wangapi? Me nilishapewa ahadi kama hii moja tu, nilimpotezea forever
3.unawaza kuoa lakini yeye hiyo habari haipo kichwani,

ushauri usipende sana kupenda itakuja kukucost siku moja mtu wangu, penda sana siku mkitoka kwa padre au askofu yeah akishasema kilichounganishwa na Mungu binadamu hatakitenganisha.
 
habari wana jf,nina kerwa sana na jambo hili kwa muda mrefu nimelileta kwenu ili nipate mawazo yenu,mimi ni kijana nina mchumba ila tabia za mchumba wangu zinanitia mashaka mpaka nimeanza kuhisi kushindwa kuwa katika huu uchumba.
Habari iko hivi,
mchumba wangu anakaa kwa dada yake ambae ameolewa maeneo ya jirani na ninapokaa pia ni wacha mungu sana kila jumapili ni lazima waende kanisani.mazingira anayoishi mchumba wangu kidogo yanabana hivyo swala la kuonana mimi na yeye hata kwa mazungumzo ni shida kidogo hivyo kuonana inakuwa ni kwa muda mfupi anapopata nafasi.kutoka na hali ya kubanwa mimi nikamshauri kuwa awe anatafuta siku ambayo anaona yuko free anijuze alafu tutoke mbali na maeneo ya kwao na yeye akasema sawa,kuna siku aliniambia kesho atakua poa ivyo tutatoka nami nikamwambia sawa ilipofika iyo siku ya kutoka nikamtafuta kwenye simu alichonijibu ni kuwa ametoka amepata simu kutoka kwa dada yake mkubwa hivyo yupo huko mimi nikasema sawa ila nikamuuliza kwanini hukunipa taarifa kuwa umepatwa na dharula akasema amejisahau ila nimsamehe nikamsamehe,siku nyingine tena akasema siku flani ntakuwa free hivyo tutatoka, ilipofika siku yenyewe mambo yakawa yaleyale ameeenda tena kwa dada yake mkubwa tena bila kunijulisha mimi nikamsamehe tena mara nyingine.
Baada ya muda kidogo mimi nikaitwa kwenye usaili na tume ya ajira morogoro nilipokua huko akaniambia ukirudi tutatoka mana shemeji anaondoka hivyo itakuwa rahisi yeye kutoka,nilipo rudi akaniambia shemeji hajaondoka hivyo hawezi kutoka, ni kweli shemeji yake hakuondoka ilo likawa limeeleweka, sasa juzi akaniambia kesho ntakuwa na muda mimi nikamwambia sawa ilipofika jioni akaanza kusema kuwa simu yake haina charg hivyo ana wasiwasi kuwa itazima na hana chaja kwa ajili ya kuichagi hivyo atashindwa wasiliana na mimi atakapo kuwa anatoka kwao mimi nikamwambia wewe ukiwa unatoka kwenu nijulishe hata kwa kutumia simu ya mtu mwingine mimi ntakuelelkeza nilipo na utanikuta hapo sasa ajabu ni kwamba simu yake ilipozima kama mwenyewe alivyodao ni chagi haina mpaka nanivyoandika huu uzi simu yake haipatikani na hakuna ujumbe wowote wa kunijulisha kuwa hatokuja.
Jamani labda mimi sijui, kweli hii ni sawa? Watu mnapeana miadi halafu mwenzako hatokei na wala hatoi taarifa kuwa hatokuja,mimi napatwa na kichefuchefu na hii tabia yake mana anaukologa ubongo wangu nashindwa kuelewa ana mawazo gani kichwani kwake.
Nimefikia hatua ya kufikiria kuachana na huyu mtu mana sidhani kama ntaishi kwa raha siku tutakapo kuwa mke/mme mana sasa hivi tu ananipasua kichwa huko mbele je itakuwaje,nimejaribu kumweleza umuhimu wa ahadi lakini naona anielewi sasa najiuliza hii ni tabia ya mtu au ni kweli anabanwa na kama anabanwa kwanini hatoi taarifa kuwa hatuweza kuja.
Ndugu naombeni mawazo yenu nifanyeje kwenye hili mana nilipanga awe mke wangu,nampenda sana huyu msichana ila tatizo ndo ilo sijui nifanyeje wakuu.



anyway,,

let me give u a piece of an advice
first ushapata kazi?au unafanya kazi?pesa unayo??
Me yashanitokea hayo kipind cha nyuma,ila nilikuja kujifunza ya kwamba kulikua na mwenzangu ambae alikua ana ushawishi mkubwa sana kwa upande wa binti yule mtarajiwa wangu,na yule kidumwe mwenzangu alikua na njia njema kama ya kwangu,yeye alikua kajipanga vizuri,alikua na pesa na future ya kueleweka,kiufupi haikumsumbua sana hata alipofikia hatua ya kupeleka wazo hilo upande wa wazazi wa binti na binti mwenyewe lilipokelewa kwa mikono miwili na mwsho wa siku jamaa alichukua jiko

ushauri wangu kwako ni kwamba mabinti wengi siku izi ukiachilia mbali ya kwamba wanaweza kua na upendo wa dhati wapo kwa kuangalia mwelekeo halisi wa mwanaume husika

so,jipange kwanza kimaisha,wazuri wapo wengi sana na hawaishi mkuu
 
duh!!! ila mwana hii tabia wanayo sana mademu...yaani mtakubaliana basi atajizungusha wee mpaka upige simu mara mia ishirini kidogo. kwangu mie naona demu amenidharau na kuona mie muda wangu sio wa maana. toal lack of respect. piga chini huyo bwana. tabia za kibinafsi sana hizo eti kisa yeye ana K. nyambafu!!!!

Ila Hizi K Zinatuburuza Kweli Kiongozi,Na Ndo Maana Wengine Tunadil Na Toy!
 
Da,,hizo Sitaki nataka za wasichana ndizo zimenifanya mpaka leo nawashangaa!
Maana ukitafakari kwa nini wako jinsi walivyo utaumiza akili yako bure!
Sitisha mawasiliano kwa muda uone yeye anakujali kiasi gani,,mwanamke kama anakupenda kwa dhati na sio kukufanya jamvi la kupumzikia akipigwa chini na ampendae kwa dhati,,huwa ana muda mwingi na hakuna cha kumzuia hata geti kali ataruka sarakasi apite akufuate!

Apo Sasa...Ila Vinakujaga Na Lawama Kibao!!
 

kwanza kabisa unajua kuwa huyo binti anaishi kwenye nyumba ya dada yake?

Pia unajua kuwa anachungwa na kubanwa ili awe katika mstari ulioonyooka?

Unadhani atatokaje hovyo hovyo kama gesti?

Badala ya kumlaumu kwa nini msitafute solution ya pamoja?
.....
 
si uende kwao ,kwanini unataka kummega mtoto wa watu kimtaa mtaaa?
simu ni mbovu... unakereka hakuna mawasilioano sio?nunua ingine acha kupenda vitu vya juu juu
.kubwa zaidi kama unamtaka mtoe kwa dada yake mmpeleke kwako ...lazima aheshimu watu walomuweka mjini,acha kupenda dezo kijana

starehe zinalipiwa eeeh!

Anaweza Fanya,Ila Mpaka Ajue Mchumbaye Yuko Vp Ktk Kumjali Kwa Kutekeleza Ahadi...
Si Unaona Tabia Anayomletea Kamanda Wangu Hapo Juu?
 
Kiukweli wanakera.lkni nakushauri mtolee posa kamakweli unampenda.kamaulitaka k tu mpige chini hafu we chapa lapa beboooooooooooooooooooo.

Amesema Mchumbaye..Nazani Amesha Fanya Hivyo!
 
Anaweza Fanya,Ila Mpaka Ajue Mchumbaye Yuko Vp Ktk Kumjali Kwa Kutekeleza Ahadi...
Si Unaona Tabia Anayomletea Kamanda Wangu Hapo Juu?
aende kwao ,anaogopa nini si watu wazima bwana.au ni denti huyo demu ?
 
Bwana mdogo, na wengine mnaojifanya mna mapenzi ya dhati mara oooh eti ya kizungu, iko hivi: KAMWE USIMUONYESHE MKEO/MPENZI WAKO KUWA UNAMPENDA KUPITA KIASI. Wanawake ni viumbe dhaifu sana, wakigundua kuwa wewe umefariki (kama sio kufa) kupita kiasi utajuta, maana anajua huna alternative na hivyo lolote akikufanyia wewe utakubali tu. Hata wewe hapo kwa kukiri kwako kuwa unampenda sana inaonyesha huyo bidada anaweza asipatikane hata mwezi mzima lakini siku akiibuka na kukuzuga kidogo mara "oooh, niliibiwa simu njiani wakati nakuja kwako na hivyo nikapoteza namba yako", wewe hutaacha kuamini na kumsamehe. Ndio maana mazuzu wengine wako tayari kufukuza hata wazazi wao eti kisa mwanamke (ambaye kwa upumbavu wao wanawageuza na kuwaita Mama, sasa sijui mama mzazi ndio aitwe Bibi??!!!) hataki kukaa na wakwe zake. Utasikia, Baba/Mama, jiandae wiki ijayo urudi kijijini si unajua msimu wa mvua umewadia? Ukaandae mashamba! Pambaf! Utadhani wazazi ndio manamba/wafungwa wa kwenda kuandaa mashamba na wajinga hawa wakidai nafasi eti wafurahie ndoa/uhusiano wao. CONCLUSION: Piga chini huyo, kwa akili yako tangu apotee juzi hajapata namna ya kuwasiliana na wewe tu? TAFAKARI KISHA CHUKUA HATUA!

hawa Viumbe Wakijua Udhaifu Wako..Utajuta!!
Jamaa Hasimuache,Ila Inabid Awe Dikteta Wa Mpenz Kwake!
 
ukweli ni huu, ukiona msichana anafanya vitu kama hivi kuna majibu mawili muhimu sana,
1.hakupendi, unajipendekeza ndiyo maana hana hata muda wa kusema samahani sitakuwepo
2.Jiulize mko wangapi? Me nilishapewa ahadi kama hii moja tu, nilimpotezea forever
3.unawaza kuoa lakini yeye hiyo habari haipo kichwani,

ushauri usipende sana kupenda itakuja kukucost siku moja mtu wangu, penda sana siku mkitoka kwa padre au askofu yeah akishasema kilichounganishwa na Mungu binadamu hatakitenganisha.

Ahadi Ya Siku Moja Tu?
Umetisha Mkuu,Nami x Wangu Alikuwaga Nazo Hizo Za Kutoomba Msamaha!!
 
anyway,,

let me give u a piece of an advice
first ushapata kazi?au unafanya kazi?pesa unayo??
Me yashanitokea hayo kipind cha nyuma,ila nilikuja kujifunza ya kwamba kulikua na mwenzangu ambae alikua ana ushawishi mkubwa sana kwa upande wa binti yule mtarajiwa wangu,na yule kidumwe mwenzangu alikua na njia njema kama ya kwangu,yeye alikua kajipanga vizuri,alikua na pesa na future ya kueleweka,kiufupi haikumsumbua sana hata alipofikia hatua ya kupeleka wazo hilo upande wa wazazi wa binti na binti mwenyewe lilipokelewa kwa mikono miwili na mwsho wa siku jamaa alichukua jiko

ushauri wangu kwako ni kwamba mabinti wengi siku izi ukiachilia mbali ya kwamba wanaweza kua na upendo wa dhati wapo kwa kuangalia mwelekeo halisi wa mwanaume husika

so,jipange kwanza kimaisha,wazuri wapo wengi sana na hawaishi mkuu

Umelonga Mkuu,Na Ndio Maana Nami Najipanga Now Sitaki Kupotezeana Mda Ktk Mpenzi!!
 
Back
Top Bottom