Ni sahihi kabisa mkuu, doc kukuuliza hivyo maana yake anakuepusha na madhara mengi likiwemo la allergy na baadhi ya dawa. Kwani mkuu ujasikia kuna watu wana allergy na dawa aina ya SP - zenye sulphur. Hata ukienda kwa wenzetu walioendelea lazima watakuuliza kama una allergy na dawa yoyote. Ni kwa usalama wako mkuuunakwenda hospitali unapimwa na baada ya kugundulika unaumwa malaria daktari anakuuliza, "unatumiaga dawa gani?" kisha anakuandikia hiyo hiyo uliyomuandikia kuwa huwa unatumia!!!
naomba kuuliza hii ni sawa au?
asate kwa kumsaidia ana wabog hawakawii o huyu DR sioNi sahihi kabisa mkuu, doc kukuuliza hivyo maana yake anakuepusha na madhara mengi likiwemo la allergy na baadhi ya dawa. Kwani mkuu ujasikia kuna watu wana allergy na dawa aina ya SP - zenye sulphur. Hata ukienda kwa wenzetu walioendelea lazima watakuuliza kama una allergy na dawa yoyote. Ni kwa usalama wako mkuu
Unakwenda hospitali unapimwa na baada ya kugundulika unaumwa malaria daktari anakuuliza, "unatumiaga dawa gani?" kisha anakuandikia hiyo hiyo uliyomuandikia kuwa huwa unatumia!!!
Naomba kuuliza hii ni sawa au?
mwili wako sio wa majaribio.... Anapokuuliza inamrahisishia akupe nini...sasa kama unajua na aina ya dawa na unaulizwa unahoji kwa nini niulizwe nyie ndio mnafanya kazi ya udocta iwe ngumu kwa kutoelewa
acha jeuri,kuingilia office za watu
Samahani kama ninakosea!Unakwenda hospitali unapimwa na baada ya kugundulika unaumwa malaria daktari anakuuliza, "unatumiaga dawa gani?" kisha anakuandikia hiyo hiyo uliyomuandikia kuwa huwa unatumia!!!
Naomba kuuliza hii ni sawa au?
Unakwenda hospitali unapimwa na baada ya kugundulika unaumwa malaria daktari anakuuliza, "unatumiaga dawa gani?" kisha anakuandikia hiyo hiyo uliyomuandikia kuwa huwa unatumia!!!
Naomba kuuliza hii ni sawa au?
Samahani kama ninakosea!
Bilashaka muuliza swali ni mwanasiasa au mfuasi/shabiki wa chama fulani.
Maswali yake yanafanana sana na baadhi ya wanasiasa ninaokutana nao ninapokuwa kazini kwangu hususani pale OPD.
Mara nyingi mwanasiasa anaamini kwamba kila kitu wewe daktari ndiye final say, na hata ukimuuliza huwa unatumia dawa gani ya ugonjwa huu, yeye atakwambia WEWE NI DAKTARI HUTAKIWI KUNIULIZA MIMI MGONJWA DAWA YA KUTUMIA. HILO NI JUKUMU LAKO DAKTARI.
Hii ni kama vile baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani vinaamini kwamba kila kitu lazima kifanywe na Serikali hata kama kiko ndani ya uwezo wake.
Ajabu iliyoje, waweza kukuta mwanasiasa huyuhuyu anamnyanyasa mkewe then ndo anakuwa wa kwanza kublame kwamba Wanawake wananyanyasika na Serikali imekaa kimya.
TUSIINGIZE POLITICS KWENYE FANI ZA WATU!